Haipingi kuwa na haramu navyo vinadalaliwa!Tatizo la sisi wabongo tunaona kazi ya udalali ni kazi ya ujanja ujanja na ambayo sio rasmi. Saiv kuna kampuni nyingi sana zimesajiliwa na zina lipa kodi kwa serikali. Na shughuli kubwa wanazofanya ni kununua na kuuza mashamba, nyumba, viwanja, mazao na kupangisha vyumba, nyumba na mashamba kwa ajili ya kilimo. Na biashara na haifanyiki vichochoron unapelekwa ofisin na biashara haifanyiki bila ya kuwa na mikataba na lazima kuwe na nyaraka zinazohusu kitu mnachoenda kuuziana.
Aliuza eneo kwa mteja yule yule aliyeletwa na dalali au mwingine? Kama ni mteja yule yule basi hakukutana na madalali wenye kazi zao.
Madalali hawakubali wakupelekee mteja wa dau kubwa halafu uwazunguke. Lazima wakufanye kitu mbaya ulogwe au uuwawe. Hapo dalali kakosa 17m.
Hamna tahadhari mhimuKwishaaa...Tanzania ..tutaanza kujazana hofu tena..Kama kipindi kile
Watafanya kila njia kulipa kisasi. Kwa dalali hapo ni kama umemuibia. Na unazungumzia 17m. Hawakubali.Kwa mteja Yule Yule Kuna watu hawalogeki mkuu
KwaniniWatafanya kila njia kulipa kisasi. Kwa dalali hapo ni kama umemuibia. Na unazungumzia 17m. Hawakubali.
Unawafahamu madalali? Kumbuka hapa nazungumzia dalali kukosa 17m.Kwanini