#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo


Na wasipo tubu huu ujinga, hapa na tumia neno zuri 'UJINGA' wao, wajue Mungu wa Mbinguni hadhihakiwi hata kidogo.
 
Eti wavae wspagani wasiomwsmini Myngu! Ins maana maaskofu wanaovaa hawamwamini Mungu
Ndio hawaamini Mungu hao ni wapagani

Ona hata Siku ya kuaga Magufuli uwanja Wa Taifa watu wote hawakuvaa barakoa isipokuwa Askofu mkuu Wa katoliki na mapadri wake!! Waumini hawaogopi Corona wanamtegemea Mungu Maaskofu na mapadri wanavaa mibarakoa kuogopa Corona!! Viongozi Wa serikali wana gari zao binafsi barakoa haziwatoki midomoni uswahili watu wanashonana barabara kwenye daladala na huoni mtu mwenye barakoa .Hakuna anayeogopa na huoni vivo mitaani vya Corona!!!

Corona ni ugonjwa Wa Ikulu labda na serikalini huko wizara ya afya labda ambao wana maslahi nao.Mitaani haupo tusidanganyane MTU kama anataka kuiba hela atafute sehemu zingine sio kusingizia Corona
 
Kwahiyo mzungu akitengeneza mashine akampatia JPM inatoka kwa Mungu. Ila mzungu huyo huyo akitoa chanjo akimletea JPM inageuka ya shetani.

Hahahahahaha aisee uwe na siku njema mkuu

Narudua hujielewi wewe linganisha mambo ujue yalivyo.
 
Mungu ndiye aliyetoa uwezo wa kutengeneza chanjo na kutibu maradhi. Alifanya hivo tusimchoshe kila kitu kuomba tu.
 
Mungu ndiye aliyetoa uwezo wa kutengeneza chanjo na kutibu maradhi. Alifanya hivo tusimchoshe kila kitu kuomba tu.

The agenda behind corona is what matters the most. Haya mambo yako wazi katika Neno la Mungu. Na Mungu hakufanya hivyo ili mwisho wa siku tusimtegemee na kumtumaini yeye au tuone kufanya hivyo ni ujinga.
 
Alikua mwafrika kama wewe na mimi..na hivyo ndivyo waafrika hufanya..wewe brainwashed creature.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trump na wanao jielewa wote Dunia wamechwanjwa placebo maana wanajua siti ya agenda yao. Wa kwetu hapa anachezeshwa ngoma asiyo ijua atachanjwa virusi, poor Tanzanians!
Bora kumdanganya mtu kisayansi kuliko kumdanganya kiimani. Waafrika wengi ni wehu kiimani na wanaendelea kudanganyana. Hii ni pandemic tosha kuwaangamiza
 
Hapo utakuta ukilala hua unashusha net ili usipate Malaria,ukiugua hua unaenda Hospitali kutibiwa!
 
Bora kumdanganya mtu kisayansi kuliko kumdanganya kiimani. Waafrika wengi ni wehu kiimani na wanaendelea kudanganyana. Hii ni pandemic tosha kuwaangamiza

Kama kiongozi wa nchi anashindwa kujiuliza na kujitafakarisha jambo dogo tu la kwa nini jinsi huduma za kiafya zilivyo modern and advanced USA na Ulaya lakini bado vifo vimetokea kwa idadu hiyo ya makumi elfu anasaidika vipi huyu?
 
Maajabu ni kwamba wapo watu hapa Tanzania hawataki chanjo na hawajalazimishwa .lakini pia hawataki wengine wanaotaka chanjo wapate. Wanaamini ni mpango wa mabeberu kutuuwa. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili Ndogo sana za Mwendazake
 
Hivi havifanani wala kufananishwa hata kidogo na yale yote yatokanayo na corona. Wala usijifanye hamnazo.
Naona akili zako umeamua kuziweka kwenye mfuko wa shati,ukizirudisha kichwani njoo tujadili kwa akili na sio kwa kuendeshwa na mihemko kama ulivyo sasa hivi.
 
Kamati ya Corona imeishauri Serikali ya Tanzania;

1) Itangaze uwepo wa Corona
2) Iruhusu matumizi huru ya Chanjo sahihi za Corona....
Inatia moyo kuona serekali kuanza kuwa sikivu na makini. Nadhani wengi tulio nje ya TZ tulikuwa tunaona wanasiasa wakicheza mchezo wa hatari na maisha ya wenzao. Mapendekezo hayo sio mageni kwa wale ambao wanafuatilia nchi zengine zimepitia hatua gani katika janga hili.
 

Tuchukue akili ya USA kwa mfano wenye vifo takribani 600, 000 pamoja na kuwa na huduma bora sana za kuafya? Na chelea kusema, Huu si umakini na usikivu bali ni ujinga katika ubora wake.
 
Kama COVID-19 utakuwa ugonjwa wa kujirudiarudia kwa msimu au kwa mawimbi mbalimbali kama wanasayansi wengi wanavyotabiri itakuwa habari mbaya sana kwa wapinga chanjo na mataifa yanayozembea kuwachanja raia wake.

Kila wimbi litakalokuja litaondoa idadi kubwa ya wazee na watu mbalimbali wenye matatizo makubwa ya kiafya. Pia wapo watakaoumwa na kuteseka kwa wiki kadhaa mahospitalini.

Wanawake wengi zaidi watabaki wajane na wajukuu wengi watapoteza babu na bibi zao endapo wimbi lingine kali zaidi litaibuka huku watu wakiwa hawana chanjo.

Hatua za haraka zichukuliwa.Kamati ya Rais imekwishatoa mapendekezo yake, ni wakati wa kuharikisha chanjo sasa kwa wale wenye kuzihitaji na kuwaacha wapingaji waendelee kucheza kamari na maisha yao.

Wapinga Chanjo na wanaojivuta kwenye chanjo. COVID itawalimisha kwa meno kama bado itaendelea kuwepo wepo.
 
... Rais na Mwenyekti wa Kamati kwenye makabidhiano ya ripoti (just two people) wamevaa barakoa halafu kapuku mwenzangu unajitoa ufahamu eti hakuna korona! Watch out!
Na duniani kote wanaojimwambafy kuwa hakuna korona walishaenda zao!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…