Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Ni Kweli kanisa hii serikalini ya sasa in dharau kubwa kwa Mungu aliyetushindia Corona inafanya sala na dua zote zikizofanywa na mashehe na Viongozi Wa dini zote na watanzania wote kuwa ni ujinga mtupu
Nchi ilishakuwa inipigiwa mfano kuwa oneni Tanzania wategemea Mungu Corona walivyoipiga mieleka
Kilichopo serikalini kwa sasa ni kampeni ya kumdharau Mungu kuwa hana lolote na hakuna Cha maana alichofanya kuhusiana na Corona!!!
Sisi wananchi tunabaki na Mungu wetu, mibarakoa na michanjo tunaiachia ikulu mama Samia na wenzao wasiamini Mungu na uwezo wake
Na wasipo tubu huu ujinga, hapa na tumia neno zuri 'UJINGA' wao, wajue Mungu wa Mbinguni hadhihakiwi hata kidogo.