#COVID19 Kamati ya Corona: Serikali itoe taarifa uwepo wa Ugonjwa wa COVID-19 na kuruhusu matumizi huru ya chanjo

Hawajakataa "tiba mbadala" wala tafiti za kienyeji...
 
Alichokisahau yeye na waliomuunga mkono ni kuwa vingi vya mabeberu tunavyovitumia kv: "mionzi ya simu, magari, ndege zifushazo moshi angani zinapokatiza anga letu... vifaa tiba toka hukohuko kwa wazungu" walijiridhisha kuwa havina athari???
tunaangizwa kutumia akili mara nyingi.

lengo lao usishtuke,kama ambavyo wewe umelala namna hii.
 
Kama hakuna wagonjwa wa Corona
Kuna haja gani ya kukimbilia chanjo za majaribio?
 
Mnasema ni vizuri/lazima turidhie mikataba ya kimataifa tulio saini, lakini hapo hapo hamtaki WHO kufuata protocol za kuzindua dawa
 
Wanapenda kujaza mijitabu
Hivi wale wabunge wenzangu na mimi
Wataisoma kweli

Ova
 
Tanzania haina uwezo wa kujitenga na kaka yake dunia - shime ya pekee ni kuwa kuna uhiari wa kuchanja au kutochanjwa
 
Mwendazake alitupoteza sana, kusema chanjo ya Corona ina matatizo wakati chanjo nyingine za wazungu tunazitumia miaka mingi hakuwa sawa, hasa alipodai wazungu hawatupendi it was such a very primitive mentality.
Wazungu wenyewe wanasema hazifai....au hujawasikia ndugu...soma majarida ndugu...vitu vingi haviwekwi hadharani...you need to dig deep
 
Hapo kwa hiari wametuokoa...ila kusema ni salama naona haijakaa vizuri

Maana wazungu wenyewe wanasema hizi chanjo sio...na sio ya lazima...

HIV na Covid zote zinashambulia kinga ya mwili...kwanini HIV isiwe na chanjo iwe na dawa za kuboost immunity ila Covid dawa yake iwe chanjo...tutachanjwa magonjwa ambayo tutakuwategemezi wa dawa zao mpaka siku tutadumbukia ardhini....
 
Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi za wananchi.
Watu walitaka kulazimishia kijiji kiwe jiji tuliona poa tukasema ni sehem ya Tanzania, halafu eti tuone ni dhambi serikali kulinda wananchi wake dhidi ya magonjwa.
Kwanini zisiletwe kisha anaetaka akanunue? Au we unadhani kila mtu yuko tayari kufanyiwa majaribio?
 
Kipi official hapo ambacho tulikua hatukijui?
Sio kwamba unajua au hujui.,
Tunaongelea serikali kiongozi aliyepita hakuwa interested na corona aliyepo ameona kuna haja kuchukua hatua ndio mana ilibidi aanze na hiyo tume ili kama serikali iwe ni starting point., tusahau tulikotoka.

Umekuwa kama darasa la kwanza
 
Kwanini zisiletwe kisha anaetaka akanunue? Au we unadhani kila mtu yuko tayari kufanyiwa majaribio?
Nafikiri niishie hapa.
Asante kwa muda wako, wanaohusika watachukia wanaloona linafaa na kuachana na wanaloona halifai.
Siku njema[emoji120]
 
Unamwamini mwendazake kukiko hawa wataalamu,mimi sinaimani namwendazake
 
Unamwamini mwendazake kukiko hawa wataalamu,mimi sinaimani namwendazake
Kama Huna imani na Hayati Magufuli basi ngojea mupigwe sindano za sumu za chanjo ya Corona wakati ulaya na Amerika Wananchi wanapinga kupigwa hizo sindano zenye sumu .Wanasema zina madhara makubwa sana.
 
Usilolijua ni usiku wa giza ,mambo mengne kama huna viwango vya kiroho huwezi jua
 
Wote tumeshuhudia ile kamati iliyoundwa na rais Samia kuhusu Corona ilivyopopolewa na kupingwa kila kona na watanzania.
Dunia ilitakiwa ije kujifunza Tanzania tunavyopambana na corona lakini sasa hivi kuna nguvu kubwa inalazimisha sisi watanzania tukajifunze namna ya kupambana na corona huko India na Marekani walikokufa wengi.

Kwa report hiyo maprofesa wataendelea kutukanwa na akina Kibajaji na Msukuma wataendelea kusikilizwa na wananchi.
Haiingii akilini maprofesa wanatoa report utafikiri ugonjwa wa Corona umeibuka mwezi wa 3 mwaka huu, maprofesa eti wanapendekeza waziri wa afya aanze kukaa kwenye makamera na kutangaza leo tumepata wagonjwa wa corona idadi kadhaa...!
Kuna kila dalili hao maprofesa wamehongwa ili waje na mapendekezo hayo ya kuwatia hofu watanzania wakati hofu tulishaikataa tangu mwaka 2019.

Kwa muktadha huo nakuomba rais wangu mpendwa Samia Suluhu ipuuze kamati hiyo na mapendekezo yao yote kwani hayana tija yoyote kwa nchi yetu.
 
Kwaiyo wewe unapendekeza ninii mwanawitu?
Kweli tumefikia hatua ya kupanga foleni kununua umeme?

Yani kwa wakati mmoja mfumo wa TRA unasumbua, mfumo wa bandari unasumbua, mfumo wa LUKU unasumbua na TFF nao wamekula hela za wananchi.

Hapa hutaona Lissu, Lema wala Mbowe wakilaani shughuli za wananchi kusimama na kupanga foleni ya kununua umeme.!!

Tunawasiasa wa hovyo kuwahi kutokea kwenye nchi hii, kwenye vichwa vyao wanajua wakilaani haya mapungufu watakuwa wamempromote hayati Magufuli.

Yani ni mijitu ya hovyo kabisa ndiyo maana wanaishi ulaya kwa jasho la wanaume wenzao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…