Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Serikali imehimizwa kumsimamia mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Tanga-Pangani ili kuhakikisha anamaliza kwa wakati. Katika mradi huo hatua ya kwanza (lot one) ya ujenzi wa barabara ya Afrika Mashariki, kipande cha kilomita 34 kilichosalia cha Tanga-Pangani, ambacho kwa mujibu wa mkataba kinapaswa kukamilika ifikapo Juni 16, mwaka huu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Aidha, imeelezwa kuwa mkandarasi atakaposhindwa kumaliza mradi huo kwa wakati, atalazimika kuilipa Serikali fidia ya asilimia 0.01 kwa kila siku ya ucheleweshaji hadi mradi utakapo kamilika.
Hayo yamebainishwa leo Ijumaa, Machi 14, 2025, wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilipokagua mradi huu.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Aidha, imeelezwa kuwa mkandarasi atakaposhindwa kumaliza mradi huo kwa wakati, atalazimika kuilipa Serikali fidia ya asilimia 0.01 kwa kila siku ya ucheleweshaji hadi mradi utakapo kamilika.
Hayo yamebainishwa leo Ijumaa, Machi 14, 2025, wakati Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ilipokagua mradi huu.