Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walitaka apewe na adhabu ya kutoishangilia simba for the rest of his life ikapingwa... jokinKamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.
Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.
View attachment 500178
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.
Kamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.
Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.
View attachment 500178
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.
Hahahah utaishia kusema lete uthibibitisho ndo zetu za kibongo, Kwa nini walimnyima Manara nafasi ya kujieleza kwenye mahakama yao hiyo ya kimichezo? Mbona aliyetuhumiwa hajakanusha hata neno moja la Manara kaishia kutoa adhabu tu. Yangoswe muachie mwenyewe mkuu.Unajuaje kama kasema ukweli? Mbona ameshindwa kuthibitishwa?
Faini hiyo ni kubwa mno ukilinganisha na kosa lenyewe.utakua hufatilii mipira ya nje, kocha anapigwa fine tu kwa kusema tu kuwa hana iman na refa itakua hayo maneno ya manara? tuache ushabiki bhana