Kamati ya Maadili TFF yampiga Haji Manara marufuku kujihusisha na Mpira. Apigwa faini Milioni 9

Kamati ya Maadili TFF yampiga Haji Manara marufuku kujihusisha na Mpira. Apigwa faini Milioni 9

Milioni 9!! Silipi afadhali nizitumie kupoza kiu kwa kilimanjaro baridiiii!!!!
 
Kamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.

Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.

View attachment 500178
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.
walitaka apewe na adhabu ya kutoishangilia simba for the rest of his life ikapingwa... jokin
 
Kamati ya maadili ya TFF Leo imetoa hukumu kwa Msemaji wa Simba Sports Club, Haji Manara kufuatia kutokuitikia wito wa kamati hiyo.

Kamati hiyo imetoa hukumu ya makosa matatu dhidi ya Manara na hatimaye kumtoza faini ya Tsh. Milioni 9 pamoja na kutokumruhusu kujihusisha kwa shughuli za mpira wa miguu.

View attachment 500178
Manara amehukumiwa kutojihusisha na Soka kwa miezi 12 na ametakiwa kulipa faini jumla ya Shilingi milioni 9.

Mzee wa "Hii ndio simba buana"

wangempiga hadi miezi 36 akafie mbele huko.
 
angeenda kujitetea ingeweza kupunguza ukubwa wa adhabu tofauti na kuwaacha waamue wenyewe waonavyo inafaa
 
Unajuaje kama kasema ukweli? Mbona ameshindwa kuthibitishwa?
Hahahah utaishia kusema lete uthibibitisho ndo zetu za kibongo, Kwa nini walimnyima Manara nafasi ya kujieleza kwenye mahakama yao hiyo ya kimichezo? Mbona aliyetuhumiwa hajakanusha hata neno moja la Manara kaishia kutoa adhabu tu. Yangoswe muachie mwenyewe mkuu.
 
utakua hufatilii mipira ya nje, kocha anapigwa fine tu kwa kusema tu kuwa hana iman na refa itakua hayo maneno ya manara? tuache ushabiki bhana
Faini hiyo ni kubwa mno ukilinganisha na kosa lenyewe.
 
Adhabu ni kali mno na maneno aliyoropoka msemaji wa klabu ya S nayo ni makali mno
 
Back
Top Bottom