Kamati ya Maadili ya Bunge leo inaendelea kumuhoji Askofu Gwajima

Kamati ya Maadili ya Bunge leo inaendelea kumuhoji Askofu Gwajima

Kweli ni hiyari Komredi......

Na wengi tu wanaitetea hiyari yao hiyo.....

Ila.......

Mh.Gwajima alianza kwa KUWALAANI VIFO MADAKTARI wetu wote ambao wanahimiza chanjo dhidi ya UVIKO huku akisema kuwa VIONGOZI WAMEHONGWA MAPESA YA NJE kuhimiza chanjo na akataja kuwa KIPINDI CHA URAIS WA HAYATI JPM hayakuwepo hayo.....je hapa hajamshambulia Rais na mwenyekiti wetu wa chama ?!!

Hili kwako ni dogo Komredi wangu ?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
 
Mwanachama aliyeiva ITIKADI ya CCM huwa HAMPINGI MWENYEKITI WETU WA CHAMA HADHARANI....ni mwiko hayo.....

Ni mwiko kabisaaa.....sijajua huko kwenye vyama vya kiliberali.....

#UtiiKwaMwenyekitiNiLazima
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
#KaziIendelee
Bado fikra za mwenyekiti zinalindwa mpaka leo hata kama ni useless? Mbona yeye mwenyewe anataka kukosolewa, kwanini wewe umsemee
 
Bado fikra za mwenyekiti zinalindwa mpaka leo hata kama ni useless? Mbona yeye mwenyewe anataka kukosolewa, kwanini wewe umsemee
Mwenyekiti anaweza kukosolewa kwa STAHA na mwanachama wa CCM....si kwa ZODO ,DHIHAKA NA MASHAMBULIZI.....

Hayo utayapata kwenye madarasa ya itikadi ya chama.....

IMANI YA PILI YA CHAMA>

*Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.
 
Kweli ni hiyari Komredi......

Na wengi tu wanaitetea hiyari yao hiyo.....

Ila.......

Mh.Gwajima alianza kwa KUWALAANI VIFO MADAKTARI wetu wote ambao wanahimiza chanjo dhidi ya UVIKO huku akisema kuwa VIONGOZI WAMEHONGWA MAPESA YA NJE kuhimiza chanjo na akataja kuwa KIPINDI CHA URAIS WA HAYATI JPM hayakuwepo hayo.....je hapa hajamshambulia Rais na mwenyekiti wetu wa chama ?!!

Hili kwako ni dogo Komredi wangu ?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
Sioni sehemu yoyote aliyomshambulia mwenyekiti wa chama na Rais.

Ndio maana chama hakijawahi kumuita kumhoji.
 
Mwanachama aliyeiva ITIKADI ya CCM huwa HAMPINGI MWENYEKITI WETU WA CHAMA HADHARANI....ni mwiko hayo.....

Ni mwiko kabisaaa.....sijajua huko kwenye vyama vya kiliberali.....

#UtiiKwaMwenyekitiNiLazima
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
#KaziIendelee
Hizi itikadi za Kirusi au china ya kale ngumu kuendana na karne ya sasa ya kizazi huru
 
Bwana Yesu apewe sifa!

Kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge leo itaendelea kumhoji askofu Gwajima kwa tuhuma za kusema uwongo na kulivunjia bunge heshima.

Je, Askofu Gwajima atakwenda na kiti chake au atasimama?

Mungu ni mwema wakati wote.
Huyo ni tapeli tu,awadanganye MISUKULE yake,
Eti anakataa kiti na maiki anaomba abadilishiwe vingine na anayembadilishia na kumpa vingine Ni yuleyule aliyemwandalia awali,hiyo ni akili au matope?

Kama angekuwa na akili angeenda na kiti chake na maiki yake,
Hali nyama ya nguluwe sababu ni haramu lakini anaomba apewe mchuzi wa nguluwe eti ni halali!
 
Kweli ni hiyari Komredi......

Na wengi tu wanaitetea hiyari yao hiyo.....

Ila.......

Mh.Gwajima alianza kwa KUWALAANI VIFO MADAKTARI wetu wote ambao wanahimiza chanjo dhidi ya UVIKO huku akisema kuwa VIONGOZI WAMEHONGWA MAPESA YA NJE kuhimiza chanjo na akataja kuwa KIPINDI CHA URAIS WA HAYATI JPM hayakuwepo hayo.....je hapa hajamshambulia Rais na mwenyekiti wetu wa chama ?!!

Hili kwako ni dogo Komredi wangu ?!!!

#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#NchiKwanzaKablaYaYeyote
#SiempreJMT
Kwani ni uwongo kuwa Rais hajasaini pesa ili chanjo ziletwe?
Rais amesaini pesa za mkopo akaambiwa na masharti ya kufuata Kama vile kutoa takwimu ndipo tukaletewa chanjo, so Gwajima Yuko sahihi maana asingesaini na kukubali masharti tusingeletewa chanjo Kama ambavyo JPM alikataa hayo masharti ya hizo pesa za chanjo.
 
Si wanasema sumu haiwadhuru? Sasa Gwajima leo hayaamini maneno ya Biblia au mnaoutetea ujinga wake nanyi hamuiamini Biblia?

Marko 16:
15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.


Imekopiwa toka kwa FaizaFoxy
Huwezi kumjaribu Mungu,Yesu mnazareti alikataa mchezo huo alipoambiwa ajirushe kutoka juu eti malaika wangemlinda.
 
Si wanasema sumu haiwadhuru? Sasa Gwajima leo hayaamini maneno ya Biblia au mnaoutetea ujinga wake nanyi hamuiamini Biblia?

Marko 16:
15 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.
16 Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
17 Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo; watasema kwa lugha mpya;
18 watashika nyoka; hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapata afya.


Imekopiwa toka kwa FaizaFoxy
Wewe unayeanini unaweza kunywa sumu? Tafsiri yako ya uelewa wa biblia sio uniform kwa kila mkristo hivyo hupaswi kumlaumu mkristo mwingine anavyotafsiri tofauti na wewe.
 
Kwani ni uwongo kuwa Rais hajasaini pesa ili chanjo ziletwe?
Rais amesaini pesa za mkopo akaambiwa na masharti ya kufuata Kama vile kutoa takwimu ndipo tukaletewa chanjo, so Gwajima Yuko sahihi maana asingesaini na kukubali masharti tusingeletewa chanjo Kama ambavyo JPM alikataa hayo masharti ya hizo pesa za chanjo.
Huko ni "kununuliwa" kwa mtu binafsi ambako Gwajima anakutuhumu?
 
Back
Top Bottom