Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Na kuuza godoro moja ni ishu.Na safari afungiwe maisha akauze magodoro ya swahiba wake Ghalib
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuuza godoro moja ni ishu.Na safari afungiwe maisha akauze magodoro ya swahiba wake Ghalib
Kamati ya TFF wangechelewa kuitolea taarifa hii au kuiandikia barua kama walivyoandika, still mngebaki bado mnaisema TFF kwa kuchelewa kuja na statement yoyote. Sasa TFF wameanza harakati chapu bado pia mnaona wanakurupuka. Ila wabongo ni watu wa lawama tu siku zote. Mpira siku hizi umeahamia kwenye Midomo kuliko uwanjani, yani kila mtu ni msemaji, na kila mtu anajua sheria. Ifike stage tuachie mamlaka husika wamalizane.Inavyoonesha Kuna mtu amemkamia sana manara ,angalia barua ya tff muda iliyoanza kusambaa,inaonekana imeandikwa Saa Moja asubuhi au Jana ileile usiku, swali ni saangapi wamekaa na kupitia tukio Zima hata kukubaliana eng hersi,na manara wafunguliwe kesi?inaonyesha ni utashi wa mtu Mmoja ndie anaeamua tu ,manara atawaumbua na kuwavua nguo ,