Kamati ya maadili ya TFF ,Kwa hili la Manara mmekurupuka.

Ole wake nchi ambayo kiongozi wake ni kijana na hula asubuhi.
 
Bangi za kuvutia chooni zina madhara sana,manake si kwa uharo huu
 
Kamati ya TFF wangechelewa kuitolea taarifa hii au kuiandikia barua kama walivyoandika, still mngebaki bado mnaisema TFF kwa kuchelewa kuja na statement yoyote. Sasa TFF wameanza harakati chapu bado pia mnaona wanakurupuka. Ila wabongo ni watu wa lawama tu siku zote. Mpira siku hizi umeahamia kwenye Midomo kuliko uwanjani, yani kila mtu ni msemaji, na kila mtu anajua sheria. Ifike stage tuachie mamlaka husika wamalizane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…