Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Wachukue kwani bilioni 70 kitu gani?
Nilizani utasema tirioni kadhaa kumbe ni billioni?
Mbona wlikataa kutupa hiyo pesa kipindi caha corona na hatukufa kama walivyotaka?
Hujajibu swali langu.Nimekuuliza fedha hizo mmezipeleka wapi?Zimetumika sawa na maelekezo ya umoja wa Ulaya ya kupambana na Corona?CCM mnafanya ufisadi wa kimataifa pamoja na wizi,yaani ufisadi across borders halafu mnajinasibu kuwa ni serekali inayopambana na ufisadi?!
 
Hivi sisi wananchi hatuwi affected na hizi sactions?
 
Nimetuma ujumbe wako wa vitisho kuongeza ushahidi kwa wahusika.

Huo ni ushaidi tosha kwamba the most vocal trolls herein elimu yao ni dismal kabisa ndio maana hawaelewi gravity ya kinacho ongelewa hapa - wapo wapo tu,kazi kutukana na kutisha tisha watu, repeat, education counts a lot - we angalia skewed comments za jamaa yaani hana habari kwamba vitisho vyake vinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kumu-implicate kwenye list ya wavunjaji haki za binadamu - suala zima wanalichukukia poa na hawajali kabisa - hii inashangaza sana.
 
Kweli wewe ni Mtanzania unapoteza muda wako kushabikia ubaya unaojadiliwa dhidi ya nchi yako?

Kwamba wanaangalia uwezekano wa pesa wanazotoa kama misaada zinaelekezwa mpja kwa moja kwenda kwa vyama vya siasa na mashirika ya kutetea haki za binadamu!!!

Hizo pesa zitaelekezwa kwa mtindo gani wakati kila taasisi inayojipatia kipato ni sharti iweke wazi chanzo cha mapato kwa uendeshaji wa shughuli zake?

Kwa kuropoka kwako tayari sheria nyemelezi itatungwa kudhibiti hizo hela unazozitamani ziingie mikono mwako, kwa vipi unawaamini sana hao ngozi nyeupe bila kurejea malengo ni yapi kuikalia vika nchi yako pendwa kama sio maslahi yao yamekatwa? Unaamini ni ukiukwaji wa haki za binadamu wakati mtindo tunaoenda nao tangu enzi za mababu zetu ulikuwa tena mbaya zaidi kuliko sasa?

The failed addicts are in illusion, all the time you negatively paint and applaud the rouge gangs. Get back to teh drawing board to subdue your lost expectations when peace of mind will prevail in you; it sounds like a barking dog aimed at retarding the milky and honey dreamland.
 
lini China iliweza kutoa misaada ya kibajeti popote hapa duniani ???

China na uturuki ni wafanyabiashara hawacheki na kima wao wanasaka faida za kibiashara tu hawatoi na hawezi kutoa misaada ya kibajeti kwa tanzania.
 

Kwani huyo aliyepo anayejinyakulia mashamba ya watu na kujijengea viwanja vya ndege vichakani anamnufaisha nani au wale majeshi ya kukodi ya Burundi ???
 
Kwani hivi mnavyouwa raia zenu na kuwatia vilema na wengine kuwafunga kwa kuwabambikia kesi unaona ni sawa au umetupiwa kwato za nguruwe ndio unaona unafaidi ??
 
Kwamba ICC inadeal na viongozi mafisadi? Kwahiyo aisisi ndiyo solusheni ya ufukara? Siasa za Africa hata awepo nani wote ni wachumia tumbo...........hakuna atakayekuja kukuokoa na ufukara hata atokee chama gani,chamsingi ni kupambana tu.........hata hao mnaosema bunge lao linadiscuss wapo kwaajili ya maslahi ya nchi zao......na hawana hata muda wa kutuwazia positive
 
Kwa sababu mnatangazia dunia kuwa kwenu hakuna corona, halafu mnarudi mlango wa nyuma kuomba misaada ya corona na hamtoi maelezo hiyo misaada imetumikaje
 
Ila mkuu wakipiga pini hakuna rangi tutaacha kuona sisi wananchi, ni vyema wakiweza wangedili na hali hii bila kuumiza uchumi wa nchi. Tutaumia sisi huku walengwa wanakula maisha
Hilo haliwezekani, lazima upige uchumi ili wananchi waijie juu serikali.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu walitumia mbinu hizo kuanzia mwisho wa ukoloni, kwa sasa ni outdated.

Nawashangaa mnaoshangilia, mndhani kung'aka kwao ni kwa maslahi ya taifa letu?

Hii ni sovereign state, na ni nchi inayo jitambua na nitajiri na wote hao wanatambua kua kitovu cha evolution yao kipo olvua gorge.
Hivo tz sio ya aina hio

Mwisho niwatie moyo wa tz kua hao wote tutaendelea kuwa-outsmart tena kwa kutumia hiyo mifumo yao ya kishenzi na mashirika yao ya kigaidi
 
Unaweza ukajikuta kila siku asubui kabla hujapiga breakfast unakagua mitandao yote kama Tanzania imewekewa vikwazo. Bonge la kibarua.
Lazima sana. Kwa mliyoyafanya kwenye uchaguzi na ujinga mnaoendelea kuufanya lazima tuwaombee mabaya tu
 
Wanasababu zao nyuma ya pazia, hizo wanazo zisema ni kama walikuwa wanasubiri wakanyagwe miguu!! Huo ukandamizaji wa haki za binadamu walizo jadili wameziona zikivunjwa KWA watanzania au kundi lakina lissu, mbowe na wenzao?? Wanamambo ya ajaabu mnoo wanakubalije kuendeshwa na kundi la watu wachache??

Ukiona hivyo ujue wameguswa pabaya wao ndio wanaofurukuta sio sisi.

Kama hatua tuliyo idhamiria kuipiga Kama taifa, na wapo ambao walishawahi kuipiga Basi lazima tufanikiwe, kelele zitapigwa Sana lakini RAIS atasimama imara.

Kama ni watetezi wa haki za binadamu Sana Basi watafakari hatua walizo chukua juu ya mauaji ya wa marekani weusi huko marekani shame on them. Nilazima tuchukue maamuzi magumu Kama taifa kufika tunapo pahitaji

NB: Endapo vikwazo vitachukuliwa, tutatumia wataalam wetu wanaodharauliwa Ili kufanya taifa lijitegemee Kama wanavyojitegemea, nothing to fear, EU WANATUHITAJI ZAIDI KULIKO TUNAVYOWAHITAJI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…