Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Bunge la Ulaya hivi punde limejadili hali ya kisiasa nchini Tanzania kabla na baada ya uchaguzi, na kuzishauri nchi washirika kupunguza zaidi misaada inayotolewa kwa Tanzania.

Wachangiaji wengi wamependekeza kusitishwa au kupunguzwa kwa misaada inayotolewa na nchi washirika wa EU. Wanahoji nini maana ya misaada yao kama lengo lao la utawala bora halitekelezwi na watawala.

Msaada wa kibajeti uliokuwa unatolewa na EU umesitishwa hadi mwafaka wa kisiasa ufikiwe.

“No budget support until EU Commission sees a fundamental improvement in the political dialogue!” - H. Stausboll.

“We must consider ECONOMIC SANCTIONS TO TANZANIA because of the elections and the TERRORIST ATTACKS in the South of Tanzania and North of Mozambique” -PauloRangel_pt EPP.

“We have had a very difficult relationship with the government of Tanzania. We will reconsider Budget support unless we see a clear direction in the political environment “ - @HStausboll.

“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid?” - Gahler Michael, @Europarl_EN.

Wameshauri kuliko kuipatia serikali ambayo inaweza kuitumia vibaya kufifisha haki za binadamu ni bora kuvipatia moja kwa moja vikundi vinavyojihusisha na kutetea haki za binadamu.

Wamehoji EU kuipatia serikali ya Tanzania Euro 27m kwa ajili ya Korona ambayo serikali inasema Tanzania haina Korona.


Mkataba wetu na EU.

001168B2-A279-4B6E-A92B-756B20EA24E1.jpeg
 
Ngoma inogile!

Bado US kukamilisha shughuli.

Sitashangaa Benki ya Dunia nao wakasitisha kutoa mikopo.

Watanyooka tu.

Kweli kari giza linavyozidi, ndivyo nuru inakaribia.
Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako, ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo, vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
 
Kwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Endelea kujimwambafai nyuma ya keyboard? If their real men let them stand on the nails. Endeleen kuzungusha mikono hadi mwisho wa dahali
 
Kumbe serikali yetu ilipokea pesa za msaada wa Covid wakati sisi hatuna Corona, sasa watuambie hizo pesa zilipelekwa wapi? na kwanini tukawadanganya wazungu wakatupa pesa wakati sisi ni donor kantre.
Hakuna COVID ila kuna athari zilizotokana na COVID mfano kushuka kwa mapato kutokana na zuio la usafiri wa anga kwa watalii
 
Kwanini usiseme ukweli uliosemwa, kwa nini unaeleza uongo kujifurahisha. Inaonekana hujui siasa za bunge la Ulaya. Kwa taarifa yako hakuna lolote litakalobadilika on the ground.
 
Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?
Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka.kidogo ingekuwa afadhali.lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Mbaya zaidi walikamatwa na kuwekwa ndani walioenda kuripoti polisi juu ya kukamata watu na Kura feki 😂😂😂
 
Kwa nini usiseme ukweli uliosemwa, kwa nini unaeleza uongo kujifurahisha. Inaonekana hujui siasa za bunge la Ulaya. Kwa taarifa yako hakuna lolote litakalobadilika on the ground.
SEMA WEWE WALICHOSEMA
 
Back
Top Bottom