“The elections in Tanzania was a travesty of Justice. It was Lukashenko style type of an election. Can we still trust The Tanzania govt with aid? - Gahler Michael, @Europarl_EN.Hauna link, ni hivyo tu vinginevyo ungeweka hapa, ...
Na tunawatia ndimu ili waelezee mbinu zao zote humu. Tena kwa maandishi. Wanadhani tunataniaHuo ni ushaidi tosha kwamba the most vocal trolls herein elimu yao ni dismal kabisa ndio maana hawaelewi gravity ya kinacho ongelewa hapa - wapo wapo tu,kazi kutukana na kutisha tisha watu, repeat, education counts a lot - we angalia skewed comments za jamaa yaani hana habari kwamba vitisho vyake vinaweza kutumiwa kama ushahidi wa kumu-implicate kwenye list ya wavunjaji haki za binadamu - suala zima wanalichukukia poa na hawajali kabisa - hii inashangaza sana.
Definitely
Siku zote anaeshindwa huwahaachi kulalamika! Trump mwenyewe nae kashindwa, anadai Uchaguzi haukua huru na haki!! Kwa hiyo hayo ni malalamiko ya kawaida tu kwa wanofeli!!Kama ungekuwa uchaguzi huru na wa haki kusingekuwa na haya tunayojadili sasa.
Utacheka sana. Yanayokuja sasa ndo utafurahi zaidichadema bana 😂😂!
Utacheka sana. Yanayokuja sasa ndo utafurahi zaidi
Basi tuia acha kuhangaika na kitu kisicho kuhusu.Nani anapenda kusaidiwa??? Wewe unaepeleka bakuli au sisi ???
mataga acha jazba,Kamanda uchwara.
Kipi hakinihusu?Basi tuia acha kuhangaika na kitu kisicho kuhusu.
Mtu anakosa hela mfukoni anajikita kushabikia wazungu watunyanyase ,kumbe history ni somo zuri Sana japo skuzama ndani Sana kulichimba,ila nakumbuka incidence moja hivi yakwamba wakati mababu zetu wanaresist kutawaliwa na wazungu kuna mababu utopolo waliungana na mabeberu kututesa.WAO WAPO ULAYA MNAPANDIKIZWA CHUKI NYIE VIHEREHERE vita ikija mtataabika nyie mtasaga meno na kujutia ujinga wenu
Chekelea kwa kuwa watapunguza misaada ili 2025 mpate nafasi ya kushinda.Kipi hakinihusu?
Ila kushabikia unajisi wa sanduku la kura na mauaji ya raia wasio na hatia ni sawa ?Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Nyumbu hawajui kwamba kwa sasa Tanzania imekuwa ikipokea less than 3 % kuongezea kwenye bajeti. Mwaka bajeti iliyopita hao mabwana wa nyumbu walichangia kama less than 1%.Ina maana haujui hata status ya bajet ya Tanzania
Pole
Haki inapatikana mahakamani...Trump mwenyewe kashitaki kwasababu ana ushahidi, kama kura ziliibiwa nendeni mahakamani!Mafanikio gani??? Ya kupora watu ushindi wao na kuwabambikia makesi??
Lazima nichekelee, kwa sababu najua lazima mtapata akili ya kujua nini maana ya demokrasia. Na mwisho hao wakubwa wenu wakifungwa jela lazima mjifunze kuwa kuna haki lazima ziheshimiweS
Chekelea kwa kuwa watapunguza misaada ili 2025 mpate nafasi ya kushinda.