Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Sioni hali mbaya katika maelezo yako hayo. Every penny channelled into the country will be drastically monitored, whether you like or not.
 
Bomba sana, sasa bado watakwambia tungeendelea kuwa chini ya mkoloni eti tupate maendeleo?! Aise tuna vichwa vya ajabu Tz?!
 
Hujui kuwa EU ndo funder wa ICC na Kamisheni ya UN ya haki za binadamu. Mbaya zaidi hao wote wametoa tamko dhidi ya ufedhuli wenu mliofanya mwaka huu. Sasa jiandaeni tu

unajua aliekua anafund UN ni nan?
 
Hujui kuwa EU ndo funder wa ICC na Kamisheni ya UN ya haki za binadamu. Mbaya zaidi hao wote wametoa tamko dhidi ya ufedhuli wenu mliofanya mwaka huu. Sasa jiandaeni tu
Mkuu wewe utaendelea kubweka tu humu huku ccm na jpm wakiendelea kujenga nchi.

Umeona wenzenu wa uganda ? Wamekinukisha siyo nyie mnawalamba matakle wazungu ili wawasaidie
 
Kuna Maabara ya COVID Mabibo iko full nondo kila kitu, hivyo sidhani kama ni ngumu kwa Serikali kuelezea jinsi ilivyotumia fedha kama ni kweli ilipokea msaada kwaajili ya kudili na COVID, ...
Waeleze mkuu.
 
3. Wamehoji hadi Kwa nini walitoa hela za ku support harakati za covid na wamembana afisa wao kuwa walitumia vigezo gani kutoa hela hizo wakati TanZania haifuati maelekezo ya WHO na wametangaza kuwa wako covid free.

Sisi tukihoji tunaitwa vibaraka wa Mabeberu.Haya sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui kuwa EU ndo funder wa ICC na Kamisheni ya UN ya haki za binadamu. Mbaya zaidi hao wote wametoa tamko dhidi ya ufedhuli wenu mliofanya mwaka huu. Sasa jiandaeni tu

aliekua anfund UN ni USA, na USA walishaweka vikwazo vya uchumi UN baada ya kugundulika ni pupet wa china, EU ilishavunjika kitambo imebaki jina tu, wanna know ICC condition? fuatilia last month skendo ya nigeria wakina davido walivo sainisha watu petisio kumpeleka buhari ICC,
 
Usiwe kajinga kiasi hiki,

Kwa sasa hivi hamna la kufanya zaidi ya kubweka ili wazungu wasikie mayowe yenu.

Na bado hadi akili ziwakae sawa wajinga nyie.
Usijiamini kwa kiwango Hilo ilihali Mambo yamekuwa Mambo! Ungetulia kwanza ili ushauri njia mbadala za namna ya kuziba hayo mapengo yaliyokuwa yanachangiwa na wahisani badala ya kubweka kipuuzi! Na kwa hakika washauri na au mashabiki wa aina yako mlitakiwa muwekwe rumande kwa makosa ya kushabikia upuuzi wa uchaguzi!
 
Mnashangilia msichokijua. Kwa hiyo kwa CHADEMA hii nani angewachagua kuingia Ikulu ? Hayo yatapita na Tanzania ni nchi huru kabisa. Mabeberu hawana rafiki wa kudumu.
 

kwan haujui uchaguzi ulikua funded 100% na serikali, leta mpya!
 
Mmepeleka wapi pesa za mabeberu?


Au ndo zile zilizotumika kuwalipa wabongofleva kipindi cha fedheha ya kishindo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…