fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
TBC angalia muda huuUmeangalia kupitia chaneli gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC angalia muda huuUmeangalia kupitia chaneli gani mkuu?
Jiandae na ICC ndugu yangu. This shit is real. Shauri yakoTumain la wanachadema sasa hivi ni kwa wazungu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado hadi 2025 akili zitawakaa sawa
Mkuu uzi wako wa Trump na Biden umeutelekeza umebaki ktk hali ya ukiwa twende kule basiKuna Maabara ya COVID Mabibo iko full nondo kila kitu, hivyo sidhani kama ni ngumu kwa Serikali kuelezea jinsi ilivyotumia fedha kama ni kweli ilipokea msaada kwaajili ya kudili na COVID, ...
Usiwe kajinga kiasi hiki,Mburura ambao huwa wanarukaruka kwenye nyuzi za watu kama swala kama wewe huwa nawaweka tu kwenye ignore list ili kukwepa usumbufu usiyo kuwa na logic
Kwako mlivoenda kuomba hela za covid zilikuwa na interest gani huku mkisema hakuna covid?Wewe ni jinga kweli toka lini mzungu akakupa msaada bila kuwa na interests zake.
Hizi elimu za kuunga unga zitakuja kuligharimu Sana taifa letu.
Kwahiyo wewe unaposikia tanzania imepata msaada akilini mwako unaelewa kuwa ni kama msaada wa chumvi unaopewa na jirani yako
[emoji867][emoji867][emoji867]Usiwe kajinga kiasi hiki,
Kwa sasa hivi hamna la kufanya zaidi ya kubweka ili wazungu wasikie mayowe yenu.
Na bado hadi akili ziwakae sawa wajinga nyie.
Hujui chochote ndio maana mu asmterdam aliwaaminisha anashinda mkawa mnashngilia.Yani hela za Lissu zipitie kwenye Haki za binadamu??? Mna akili nyie kweli??
Madikteta wengi ni zao la mafisadi, udikteta na ufisadi havitenganishwi.Kwamba ICC inadeal na viongozi mafisadi?
Hakuna anayebisha ila ujue tu ufukara na mateso yakizidi kifuatacho ni uasi dhidi ya serikali..whom to blame?tumbo...........hakuna atakayekuja kukuokoa na ufukara hata atokee chama gani,chamsingi ni kupambana tu........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unatangaza mambo yenu ya faragha.[emoji867][emoji867][emoji867]
Sie nyie akili ndo zitawakaa sawa??? Maana yajayo kutoka ICC hadi mtatamani dunia ipasukeUsiwe kajinga kiasi hiki,
Kwa sasa hivi hamna la kufanya zaidi ya kubweka ili wazungu wasikie mayowe yenu.
Na bado hadi akili ziwakae sawa wajinga nyie.
CCM nao watanyooka? Au Upinzani pekee yake?Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...
Icc pia hakuna cha Jiwe wala niniUfipa hakuna ruzuku, duh.
Nlikuonya kwamba baada ya oktoba 28 kiswahili kingebadirika unaona sasa? Na kama hukujiandaa kisaikolojia hili utaenda nalo hadi 2025Jiandae na ICC ndugu yangu. This shit is real. Shauri yako
Endelea tu kukifurahisha. Nakwambiaje jiandae kuona majina ya viongozi wenu takotolew na ICC kuwa wanachunguzwaHujui chochote ndio maana mu asmterdam aliwaaminisha anashinda mkawa mnashngilia.
Wewe ni kidagaa tu hapo chadema ila kina mbowe wanajua hela zilikuwa zinatoka wapi na zinaenda wapi.
ICC ndio mdudu gani huyo?Sie nyie akili ndo zitawakaa sawa??? Maana yajayo kutoka ICC hadi mtatamani dunia ipasuke
Wewe jamaa bado una mawenge ya kupigwa kwenye box la kura!
Hakuna lolote litatokea na nliwaambia mtakomaa na mada kama hizi weee kisha ikifika tarehe 1/10/2025 ndio mnaanza kuulizia tume huru.