Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
1884/85 EU hawa hawa walikaa kikao na kuligawa bara la Afrika kila mmoja akichukua kipande chake.
Kati ya 1885 mpaka early '60 nchi nyingi zikapata uhuru wa bendera. (Hapa ni takribani miaka 75 na zaidi) nchi za Afrika zikiwa colonized na mabeberu wa EU.
Kuna wizi wa mali za Afrika, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na mauaji kwa Afrikan indigenous waliotetea ardhi zao, utu wao na mali zao.
Leo hii EU haijawahi kuomba msamaha kwa vitendo vya kinyama vilivyofanywa na nchi zao kwa nchi za Afrika.
Siungi mkono vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania au popote Afrika.
Ila ni nchi gani EU yenye moral authority kukemea maovu na ukiukwaji wa haki za binadamu leo wakati wao walifanya vitendo hivyo kwa zaidi ya miaka 75???????
Freddie
Kati ya 1885 mpaka early '60 nchi nyingi zikapata uhuru wa bendera. (Hapa ni takribani miaka 75 na zaidi) nchi za Afrika zikiwa colonized na mabeberu wa EU.
Kuna wizi wa mali za Afrika, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na mauaji kwa Afrikan indigenous waliotetea ardhi zao, utu wao na mali zao.
Leo hii EU haijawahi kuomba msamaha kwa vitendo vya kinyama vilivyofanywa na nchi zao kwa nchi za Afrika.
Siungi mkono vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu Tanzania au popote Afrika.
Ila ni nchi gani EU yenye moral authority kukemea maovu na ukiukwaji wa haki za binadamu leo wakati wao walifanya vitendo hivyo kwa zaidi ya miaka 75???????
Freddie