Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Yule kiongozi kawa mbogo...akawii kututapisha tulipe... Nimeamini kila mtu ana mbabe wake.
 
Hivi una akili sawa sawa kweli?

Yani EU wanateseka kwa ajili ya TZ?

Mataga akili zenu mnaziweka kwenye makalio ama
Kama hawateseki wanatujadili kwa lipi?
Acha upuuzi basi, kama hatuna thamani nini kina wasibu?
Nadhani kulegezwa viuno kunawafanya msitumie akiri za kichwa.
 

Jumuiya ya ulaya ndio unatolea mfano wa hii jumuiya dhaifu ya East Afrika? Hii jumuiya iliyoshindwa hata kuwa na sarafu ya pamoja zaidi ya miaka kumi? Umeishiwa mifano nadhani.
 
Naona unasaka Uteuzi kwa njia haramu za kishetani hutakaa upate uteuzi milele kwa kufagilia uchaguzi mkuu haramu uliobakwa kunajisiwa na kulawitiwa na CCM kwa njia haramu za kishetani
 
Na mataendelea kuwa wajinga tu!

Mnakaa mnadeka deka hapa eti ni yeye,

Haya ni yeye wenu ndio huyo kakimbilia aliko beberu wake na nyie mfuateni huko.
Naunga mkono hatua hizi na napendekeza zichukuliwe kali zaidi ya hapa! Ila ni hatua nzuri sana hii
 
Swali lako zuri sn.... Misukule ya lumumba inamajibu yote.
Just wait n see, utajua tu. Malipo ni hapahapa
 
Naunga mkono hatua hizi na napendekeza zichukuliwe kali zaidi ya hapa! Ila ni hatua nzuri sana hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Bob Wine ambae chama chake kaanzisha juzi tu hapa amewashinda? Nyie mmbeki kujibebisha tu kwa akina Amsterdam
 
Kama wagonjwa hawapo hizo takwimu utazitoa wapi?
Umesoma nilichoandika?Unajua kusoma kwa uelewa?Masharti ya EU ya kutumia fedha zao ni unatakiwa kupima watu na utoe takwimu hata kama ugonjwa haupo.Maana yake serekali walipaswa kupima watu na kutoa takwimu kwamba hakuna maambukizi.Yaani unapima kwa mfano watu elfu moja kisha unasema kuwa wenye Corona ni sifuri.Tanzania ilifanya haya?Halafu umejua vipi kuwa Corona hamna bila ya kufanya vipimo?Unaelewa kuwa njia pekee na official na inayotambuliwa na EU pamoja na WHO ya kujua kama Corona ipo au laa ni kwa kufanya vipimo?
 
Ni frustrations ndizo zinazoji express...Hawakutegemea kama plan zao zitakuwa za kichekesho hivyo...Wameshindwa kuivuruga nchi na kulazimisha walichokitamani...Wamekosa base kwa waliyoyapanga sasa wanakuja na plan B...Kwani Tanzania iliomba msaada? Walituletea wao wenyewe na hata kama tuliomba they were supposed kukataa...Kisha is it a crime kuishinda corona? Wai hawaoni kuwa corona impact yake siyo kama wanavyotaka iwe?

Yooote hayo nibkatika kitu kimoja tu...Mtu mzima kavuliwa nguo hadharani sasa anatafuta nguo ya kujihifadhi maana madai yake yote yametokea kuwa irrelevant mbele ya jua...

Let us press on...Kukata kamba za ukoloni siyo lelema...We shall overcome all these!
 
Hivi musiba haielewi kimombo nn,[emoji33] Mbona mpaka jua linazama hajajitokeza hadharani kukanusha kama ilivyo Ada[emoji3]
 
Amna huo ni wasiwasi wako tu...... Tuko vizuri. Sisi ni dona kantri....
Kwanza nex bmonth tunanza ujenzi wa terminal two pale chato
 
Labda tutacompasate kwenye kodi.. si unajua sisi ni uchumi wakati.. pesa mingi mingi ....hatuhitaji misaada
 
acha tuwe na huo ukurutu tu bora mara 2000. mnaleta mambo ya ujima apa? mmemwaga mboga upinzani mwageni ugali wote kabisa...kama mbwai iwe mbwai tu.
Sikumpigia kura JPM. Uchaguzi umekwisha, kama ilishindikana kusimama na Tl wakati yupo nchini basi tukafanye kazi kwa ajili ya familia zetu, hakuna ugali wowote wa viongozi utakaomwagika kwa vikwazo, ugali wa JPM na mboga zake utaendelea kuwepo hata vikiwekwa vikwazo. Hata Tl ataendelea kunenepa pamoja na vikwazo tutakavyowekewa.
 
Twende mbele turudi nyuma. Raia tuna hali ngumu sana kiuchumi na kidemokrasia. Mkuu wa nchi hashauriki. Na misaada kila kukicha tunapokea ila hakuna afadhali.
Pesa zote zinatumika kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi wapinzani badala ya maendeleo ni vigumu Nchi kupiga hatua kimaendeleo kwa mfumo huu wa hovyo tokea CCM
 
Kwendraaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…