Nyie Lisu kawaambia andamaneni ili hata wazungu watuone basi. Mkaishia kucoment kwenye social media huku mkila ugali maharage kwa shemeji zenu.Hapo kwa dadayako jiandae na wewe kuolewa
Mkuu spana tani kumi INASHUKAYule mwenyekiti yuko bold vibaya sana. Amenufurahisha pale aliposema tunawezaje kutoa hela za walipa kodi wa ulaya kwa mtu ambae anadidimiza Haki za binadamu!!
Tunateswa na CCM siyo EU
Hahahahahahah........bwashe una mizaha mingi sana. The good thing you are composed, hunaga kejeli. Umewaacha kwa mbali wenzio wa Lumumba including Bw. Bashiru Ally pamoja na pH (not PhD) yake.Ndio hao hao wabelgiji!
Niwe mataga au nisiwe mataga havihusiani na nilichokiandika Mkuu.Hivi una akili sawa sawa kweli?
Yani EU wanateseka kwa ajili ya TZ?
Mataga akili zenu mnaziweka kwenye makalio ama
Vipimo vyenyewe vilikuwa feki!Umesoma nilichoandika?Unajua kusoma kwa uelewa?Masharti ya EU ya kutumia fedha zao ni unatakiwa kupima watu na utoe takwimu hata kama ugonjwa haupo.Maana yake serekali walipaswa kupima watu na kutoa takwimu kwamba hakuna maambukizi.Yaani unapima kwa mfano watu elfu moja kisha unasema kuwa wenye Corona ni sifuri.Tanzania ilifanya haya?Halafu umejua vipi kuwa Corona hamna bila ya kufanya vipimo?Unaelewa kuwa njia pekee na official na inayotambuliwa na EU pamoja na WHO ya kujua kama Corona ipo au laa ni kwa kufanya vipimo?
Kwani kuna mtu kawarazimisha?Inabidi kwanza tuache ulafi wa hela zao ndio wataacha kutufuatilia, kwani situliambiwa na kiongozi wako sisi ni dona kantrii..??
Hahahaaaa.......siasa siyo uadui bwashee!Hahahahahahah........bwashe una mizaha mingi sana. The good thing you are composed, hunaga kejeli. Umewaacha kwa mbali wenzio wa Lumumba including Bw. Bashiru Ally pamoja na pH yake.
wataenda kuchukua ubalozinihizo fedha zitapita bank gani ili kufikia vyama vya siasa? labda zipitie banki ya nchi jirani
Masharti ya fedha za EU ni kwamba serekali inapaswa kutangaza publicly(kwa umma ) kwa kutumia njia ambazo ni official kama vile radio,magazeti,tv,e.t.c kuwa kwa siku wamepima watu wangapi,wangapi wamekutwa na Corona na ni wangapi hawajakutwa na Corona.Serekali ya Magufuli iliyafanya haya?Na siyo kupima tu wageni,ila ni wananchi woteSijui, ila wanapima na Cheti wanatoa, kuna wageni kibao pamoja na Muzungu, wanapima kila siku, ...
Ndiyo EU Wanateseka kwa ajili ya Tanzania! Kama unaelewa kingereza vizuri na umesikiliza mjadala wao kuhusu Tanzania, kuna mchangiaji analialia na kusema walituiita tujadiliane nao - tukakataa! Wakatuita tena tuyamalize nao tukakataa! Na tulifukuza wawakilishi wao! Huoni hapo kwamba sisi mpaka sasa tumeshika mpini na wao makali!Hivi una akili sawa sawa kweli?
Yani EU wanateseka kwa ajili ya TZ?
Mataga akili zenu mnaziweka kwenye makalio ama
Siku zote subordinates huwa wana reflect tabia za boss wao.Kwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Comment yoyote iliyotolewa na EU kuhusu mwenendo wa uchaguzi utatumika kama reference kwenye kesi za ICC. Na hichi ndio kitu kikubwa tulikuwa tunasibiri.Amani iwe nanyi tena wadau!!
Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU.
Napenda tu kusema yafuatayo
1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe juu ya Tanzania ikiwemo kuondoa kabisa misaada yote ya kifedha kwa Tanzania
2. Mwenyekiti wa Kamati ametoa maelekezo umoja wa Ulaya sasa iuangalie Tanzania kwa jicho makini zaidi na kufuatilia kwa makini zaidi juu ya Tanzania na hali ya kutisha ya Haki kukandamizwa kwa Haki za binadamu na utawala Bora kunakoendelea Tanzania
3. Wamehoji hadi kwanini walitoa hela za ku support harakati za Covid na wamembana afisa wao kuwa walitumia vigezo gani kutoa hela hizo wakati Tanzania haifuati maelekezo ya WHO na wametangaza kuwa wako covid free
4. Wamemuamuru afisa wao anayejishughulisha na Tanzania kutoa maelezo ya uhakika juu na kwa nini walitoa hela kwa Tanzania na kwanini hawajafuatilia hizo hela zimetumika kwenye nini?
5. Wamesema sasa waangalie kwa namna gani watatoa msaada wao na hela zao kwa vyama vya siasa vinavyotetea demokrasia na watetezi wa Haki za binadamu waliopo Tanzania na sio kutoa tena hela kwa Serikali.
Sasa kama EU wametoa maelekezo haya sijui ICC watasemaje ππππ
Naomba waliopo kwenye list ya ICC wajiandae tu.
Peleka huu utetezi wako Yuropa hahahahahaaaa. Mnaacha watu wanakufa halafu mnatoka mbele mnasema Corona ilikimbia! PumbavuWazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.
Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.
Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.
Maendeleo hayana vyama!
Msaada unauomba na aliyekupa alikuwa anasababu ya kukupa...Kama wao waliutoa bila sababu then is up to them...Wahangaike na hali zao...Hawa wanatapatapa kwakua wanaiona Tanzania ikitoa darasa kwa Africa na hotuba ya mwelekeo wa nchi ya Mh. Rais imewatisha maana soon watakosa jinsi ya kupiga propaganda kwakua aliyeitoa ana record ya kutimiza kila nukta ya neno alilolitamka...Shame to them...Africa is gone friends too little too late the train has vanished into the space...Wazungu wanapaswa kuelewa kuwa Tanzania tulipambana na Corona na tukaishinda hivyo msaada tuliopewa na EU ulikuwa ni halali yetu.
Nani asiyejua hatua mbalimbali zilizochukuliwa na serikali kupambana na Corona ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa, kuweka sehemu za jamii kunawa mikono, kufanyia kazi nyumbani, shule na vyuo kufungwa nk nk.
Wazungu watafute sababu nyingine za kutubania misaada lakini hili la Covid 19 wanatuonea bure.
Maendeleo hayana vyama!