Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

Yule mwenyekiti yuko bold vibaya sana. Amenufurahisha pale aliposema tunawezaje kutoa hela za walipa kodi wa ulaya kwa mtu ambae anadidimiza Haki za binadamu!!
maneno yake kama mbunge wa darasa la saba.
 
Sisi wanalumumba hatudanganyiki,hii ni video ya kutengenezwa na wapinzani

tunajiandaa kwenda kumpongeza raisi Kwa kuifanya Tanzania kuwa donor country
 
Punguza pressure bwasheee??? Mbona umepanic sana??? Na wewe ni mmoja wao nini??😂😂😂😂

Ushauri wangu kwenu ni huu. Jiandaeni tu , Safari hii wazungu hawawaachi lazima muite Maji mmaaaaa
Mijitu km nyie sijui kwann mlizaliwa.... Ni hasara kwa wazazi wako Hadi majirani zako.
Watu wanapambana kutafuta uhuru kutoka kwa hao mabwana zako wewe unaona hatuwezi kuishi bila wao. Mbwa mmoja wewe...
 
Ningekuwa nategemea cha beberu nisingefurahi kuona mbinyo umeanza!Naongeza sauti,mabeberu ongezeni mbinyo,ARV msitoe bure na serikali inunue😁😁!
Huna lolote! Sisi tusiotegemea mabeberu hatuna hata habari tunajua tutadunda tu. Na miradi yetu itaendelea kama kawaida tu.
 
walitunyima fedha za mcc tukasambaza umeme kwa vijiji zaidi ya 9000
 
Kura ziliibiwa kwa wingi sana. Haijawahi kutokea. Na mitandao alizima nani??
Hizo za kwenye mabeki ni siasa chafu tu za kila wakati wa uchaguzi.

Magu alifanya sana kazi miaka mitano iliyopita na wenye kuipenda nchi wameiona hakuwa na haja wala sababu ya kucheza rafu.

Umuibie kura Lissu aliyekuwa kitandani hospitalini tangu 2017 ili iweje.
 
NASIKITIKA KUONA WAAFRIKA TULIVYO NA AKILI NYEUSI, NASIKITIKA KUONA HUU MPANGO NI WASISI WENYEWE, KITU CHA AJABU TUNAHISI HAO WHITE WANATUPENDA SANA
Watanzania wenzetu wameteswa, wamefilisiwa,wameuwawa, wamebambikiwa kesi kisa wapo upinzani wapinzani wameporwa uchaguzi huu kwa sababu eti walikuwa wanakwamisha maendeleo tumeamua tuwaachie bunge pekee chapeni kazi sasa hakutokuwa na kukwamishwa tena na wapinzani

 
Hapa naona EU wanatupatia fake hope lakini ukweli ni kuwa goal tayari limeshatuingia hadi 2025. Upinzani wenyewe na EU hawana evidence the fraud on general election kinachotokea hapa ni kuegemea zaidi kwenye human rights ambapo agenda kuu inaachwa pembeni.
 
Huna lolote! Sisi tusiotegemea mabeberu hatuna hata habari tunajua tutadunda tu. Na miradi yetu itaendelea kama kawaida tu.
Kabudi kateuliwa haraka kwenda kupoza joto,wewe kapuku huwezi kujua kwanin!
Hali si shwari!
 
Bunge la Umoja wa Ulaya limetakiwa kutoa maelezo ya kwanini Jumuiya hiyo ilitoa msaada wa kiasi cha euro milioni 27 za kupambana na Covid19 kwa Tanzania, licha ya kufahamu kuwa nchi hiyo imetangaza kuushinda ugonjwa huo.

Akiwasilisha hoja yake, mbunge wa Jumuiya hiyo kutoka Ujerumani, Bw. David McAllister, amesema anataka kufahamu ni namna gani fedha hizo za walipakodi wa bara la Ulaya zimetumika katika nchi ambayo imekataa kutoa takwimu na kufuata miongozo ya WHO.

"Ningependa uwajulishe wajumbe wa kamati yetu juu ya pesa tulizoipatia Tanzania; kulikuwa na vigezo gani vya kutoa pesa hizi, na ni kipi hasa kinachofanywa kwa kutumia pesa hizi", amesema

McAllister alisisitiza kupatiwa majibu ya papo kwa papo, na kama ikishindikana, basi iwe ni ndani ya saa 48.

------

European Union granted 27mil euros of European taxpayers' money to Tanzania to combat the effects of Covid.

Now we have a regime in the country saying that there is no Covid in the country. We've rather bizzare explanations.

So once again, we have a government who's refused to follow guidelines from the WHO; a government that has refused to provide statistics -- and still we are giving them 27mil euros.

I'd like you to inform members of our committee about the money we have given to Tanzania; what were the criteria for giving this money, and especially what is happening with this money.

We'rtalking about European taxpayers' money, and I have difficulties that we grant money to a government which is obviously not/trying to cooperate in a decent manner.

So could please answer my question -- and if you're not able now -- I'd expect you to provide details within 48 hours.

 
Mijitu km nyie sijui kwann mlizaliwa.... Ni hasara kwa wazazi wako Hadi majirani zako.
Watu wanapambana kutafuta uhuru kutoka kwa hao mabwana zako wewe unaona hatuwezi kuishi bila wao. Mbwa mmoja wewe...
mbaya zaidi vijana wanaamini lisu ndo atawaletea ugali mpaka mlangoni
 
Haki inapokosekana upelekea kuzaliwa kwa vikundi vya kigaidi. Thus wenzetu wapo makini Sana kuchagua viongozi awakotezi viongozi uwaandaa uwachunguza historia zao walilelewaje, thus wanamaendeleo. Afrika yeyeto tu anaweza kuwa kiongozi thus hakuna maendeleo, Vita, ugaidi, wakimbizi, mauaji nk
 
Tanzania tuna Mungu tulishirikisha viongozi wa dini kubwa waongee na Mungu kuwa anataka nchi raisi ikabidhiwe kwa mashoga na wasagaji wa ndani au wa nje au watetea ushoga na usagaji wawe CCM, chadema etc au wawe kawe au ubelgiji nk? Akakataa
Mmekula hela za mashoga lazima mzitapike kwa njia yeyote ile.
 
Back
Top Bottom