My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Utafanyaje?Kwa vyovyote itakavyo Kuwa wachumia tumbo na walio mshauri vibaya Rais ndio tutalala nao mbele. Hatuwezi teseka ilihali Tunajuwa Rais anawashauri
Wanatudharau sana watanzania. Wanaona hata wakiiba kura, wakitupiga hatuwezi fanya lolote. Sasa dawa yao imepatikana. Acha wazungu wawanyoosheSinivile wanajua Nchi hii wapumbafu ni wengi
He!!!!............Safi kabisa. Tutaisoma namba vizuri
Jiwe anadanganya wapumbafu kwamba Nchi yake TajiriIla mkuu wakipiga pini hakuna rangi tutaacha kuona sisi wananchi, ni vyema wakiweza wangedili na hali hii bila kuumiza uchumi wa nchi. Tutaumia sisi huku walengwa wanakula maisha
Kwani bunge la EU linatuhusu nini ? Inatakiwa tuanzishe EU ya Afrika na World Bank ya Afrika. Sisi ni nchi huru na tajiri πJiwe anadanganya wapumbafu kwamba Nchi yake Tajiri
Na mwaka huu lazima wamnyooshe kweli!! Yaani bado ICC sasa alafu mwisho Biden anamaliza mchezo. Aende kwa wachina aliofunga Benki yao leoHizi ndo habari napenda kusikia ...
Wazungu Mungu awaweke aisee
Bila wao miafrika tunatesana sana
Huyu wakwetu alitaka amdhalilishe Mbowe na alifanikiwa sasa asubiri. Hakuna kitu kilichokuwa muhimu kama Lissu kuondoka salama baada ya ubakaji wa tarehe 28.Tutajionea wenyewe afadhali Mwinyi kaona kabisa aendelee kumbembeleza Maalim ili yaishe
Jamaa alivurugwa sana!Mpaka Leo najiuliza magufuli aliogopa nini kwenye uchaguzi mpaka kuchafua uchaguzi kiasi kile.?
Yaani Bora wale waliokamatwa na zile kura feki wangefunguliwa mashtaka.kidogo ingekuwa afadhali.lakini mnawalinda kwanini mnawalinda?
Sasa this time ndo watajua kama ni matajiri au mafukaraKwani bunge la EU linatuhusu nini ? Inatakiwa tuanzishe EU ya Afrika na World Bank ya Afrika. Sisi ni nchi huru na tajiri π
TBC ilikuwa live.umeangalia kupitia chaneli gani mkuu?
Go to hell wakati kuna la ICC linakuja???πππSawa....hizo ndizo gharama zenyewe za misimamo yet ambazo JPM huwa anasema Mara kwa Mara...suala hapo siyo demokrasia...ni misimamo yetu ya kudhibiti raslimali zetu....they can go to hell
Umewahi kujiuliza unavyoshabikia Kura za mabegi?Watanyooka au tutanyooka pamoja na familia yako,ushabiki mwingine hauna maana hata kidogo,vitu vingine sio vya kushabikia kama tunavyoshabikia mpira wa Simba na Yanga...