Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Walizikamata kwa watu waliokuwa wanataka kuziingiza kwenye vituo vya kupigia kura na nyingine tayari zilikuwa zimeshaingizwa kwenye mabox ya kuraHao jamaa walizitoa wapi?
Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!!. Hiyo siyo Tanzania.Walizikamata kwa watu waliokuwa wanataka kuziingiza kwenye vituo vya kupigia kura na nyingine tayari zilikuwa zimeshaingizwa kwenye mabox ya kura
Unawacheka CCM kwa upumbavu waliofanya sio?Ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!!!!. Hiyo siyo Tanzania.
aisifuye mvua imemnyea. mtu hawezi kutajataja kitu ambacho hafanyiwi..nna waswas na weweNenda ukalime upate msosi usisubiri usodomanism wa Amsterdam ili akupe karo ya watoto wako
watu mnajua kufukunyua!
Nilijiuliza tu, tangu jana, wadau hawajapata link??.
Wewe ndio unaiona leo bwashee?!!!watu mnajua kufukunyua!
Halaf Balozi na Mfamaji wa serikali waje hapa eti nyenyenye...Smh
Tupo hapa huo ujinga wako ukitimia nikumbushe, Kusema sio kutenda.Uvccm , mataga , vibaraka wa Jiwe , mapimbi wa Lumumba na balozi wenu wa ubeligiji njooni muipinge hii video ya mabeberu .
Kwani kasemaje huyo?Halaf Balozi na Mfamaji wa serikali waje hapa eti nyenyenye...Smh
Uvccm , mataga , vibaraka wa Jiwe , mapimbi wa Lumumba na balozi wenu wa ubeligiji njooni muipinge hii video ya mabeberu . Safari Jiwe na vibaraka wake mtatapika ndoano .
Vibaraka wenzako wa Lumumba kina etwege , Johnthebabtist , Kawe Alumni , Mama D tafuteni mtu awatafsiriwe balozi wenu hakuelewa . Mapimbi wa Lumumba kwa hii video mnaficha wapi nyuso zenu , aibu yenu .Tupo hapa huo ujinga wako ukitimia nikumbushe, Kusema sio kutenda.
Ni sawa na yule kichaa wenu alisema haogopi mtu ila baada ya uchaguzi akajificha ubarozini na bado makashangilia nyie nyumbu.
uwezo upi unaozungumzia bwana mbona unakuwa muoga mno angalia Iran na Kim wanavyotumia akili kikwepa vikwazoNyie ambao hata uwezo WA kutengeneza toothpicks hamna ? , Fool