KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Hakuna mtu aliyeenda kuomba zile pesa zilikuwa zinaletwa na taasisi za UN. Na pesa zilikuwa za kupambana na Athari zinazotokana na Corona siyo kutibu Corona kwasababu Corona haina tiba. Nendeni mkawaeleze Mabwanaa zenu ujumbe huuHili ndilo swali la msingi linalopaswa kujibiwa na Serikali badala ya kuchepusha mada sehemu nyingine.