Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Kelele kabla. Wakati na baada ya uchaguzi ni zilezile na maadui ni wale wale. Wa ndani ya taifa na nje ya taifa wakishirikiana.
Uzuri wa madui hawa mipango yao iko wazi. Vita yao sasa imesimika mizizi katika diplomasia. Kinachotakiwa walio nyuma ya mpango huu wa ndani ya nchi ni kina nani? Hapa sizungumzii wa pinzani na zungumzia waliojificha nyuma ya wapinzani.
Huko Ulaya si tatizo sana maana tayari mawazo yao kuhusu Tanzania yanatofautiana kiasi cha kywa ni faida kwa Tanzania.
Maadui wa ndani ya taifa ndio pasua kichwa na unahitaji umakini mkubwa kushughulika nao. Na maadamu vita sasa ni ya kidiplomasia lazima kuiangalia kwa jicho hili. Wanaongoza vita hii huko kwa maadui lazima wawe wanavinasaba vya udiplomasia.
Kinacho lengwa zaidi ni kumfanya Rais na serikali yake wakwame kwa kusababisha hali ngumu ya uchumi kwa wananchi na miradi ya maendeleo ikwame. Silaha yao kubwa ni propoganda za upotoshaji. Haya mawili yakifanikiwa itawarahisishia kuona matokeo taraji ya propoganda zao. Kinacho lengwa na kushambuliwa zaidi ni umaarufu wa JPM. Kwani kwao ni tishio kwa malengo yao likiwemo la kuweka mrithi wa JPM ambaye wanataka awe niwa maslahi yao na sio Taifa na Watanzania walio wengi.
Siri ya vita ni akili. Na akili kubwa na makini ndio inatakiwa kuendelea kutumika sasa kuliko huko nyuma.
Uzuri wa madui hawa mipango yao iko wazi. Vita yao sasa imesimika mizizi katika diplomasia. Kinachotakiwa walio nyuma ya mpango huu wa ndani ya nchi ni kina nani? Hapa sizungumzii wa pinzani na zungumzia waliojificha nyuma ya wapinzani.
Huko Ulaya si tatizo sana maana tayari mawazo yao kuhusu Tanzania yanatofautiana kiasi cha kywa ni faida kwa Tanzania.
Maadui wa ndani ya taifa ndio pasua kichwa na unahitaji umakini mkubwa kushughulika nao. Na maadamu vita sasa ni ya kidiplomasia lazima kuiangalia kwa jicho hili. Wanaongoza vita hii huko kwa maadui lazima wawe wanavinasaba vya udiplomasia.
Kinacho lengwa zaidi ni kumfanya Rais na serikali yake wakwame kwa kusababisha hali ngumu ya uchumi kwa wananchi na miradi ya maendeleo ikwame. Silaha yao kubwa ni propoganda za upotoshaji. Haya mawili yakifanikiwa itawarahisishia kuona matokeo taraji ya propoganda zao. Kinacho lengwa na kushambuliwa zaidi ni umaarufu wa JPM. Kwani kwao ni tishio kwa malengo yao likiwemo la kuweka mrithi wa JPM ambaye wanataka awe niwa maslahi yao na sio Taifa na Watanzania walio wengi.
Siri ya vita ni akili. Na akili kubwa na makini ndio inatakiwa kuendelea kutumika sasa kuliko huko nyuma.