CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!