Pre GE2025 Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha wachaga kile hawana akili.
 
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Je tume yenyewe imewahi kufanya utu?
 
Ccm ni washenzi sana kama viongozi wao.
 
Kuna kitu mnatuficha? Hiyo misiba mitatu ya kina Nani? Mkuranga nayo tayari ? Au Mtoto wa Mkulima amezimika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…