Pre GE2025 Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa

Pre GE2025 Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono [emoji2][emoji2]
Maombolezo yalikuwa siku 5 shughuli nyingine LAZIMA ZIENDELEE mbona Bunge na ziara za Viongozi zinaendelea
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Inasikitisha sana,yaani tulupofikia siyo sahihi vitu vingine vinavyoondoa CHADEMA kwenye mstari wa uzalendo na utu ni pamoja na tukio hili la leo.
 
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!

Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!

Maandamano yenu lazima yadode!

Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!

Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Hiyo tu kupata watu 300 toka nje ya Mwanza wanaoweza kwenda mahali kwa kujitegemea nauli ni bonge ya mafanikio. Una lingine kwa msaada zaidi?
 
Ndiyo hata Mimi najiuliza.

Tunachojua ni kuwa tuna misiba 2 ya Lowasa na Msabaha, huo msiba wa 3 ni wa nani??

Au ndiyo anatabiri kuwa utakuwepo msiba mwingine mkubwa, wakati wowote kuanzia sasa!?
Kamara aliyewahi kuwa Waziri wa Afrika Mashariki kama sikosei.
 
Ndio kuna msiba lkn haina maana shuhuli zote zisimame hawez kuacha mapambano kwasab askari mmoja kafa vitani.

kwani wanachama wangap wanafariki na shughuli zinaendelea kama kawaida.

Kwa mantiki hiyo mpuuzi ni wewe sasa
Kati ya maombolezo na maandamano kipi kinapaswa kupewa kipaumbele. Guys get to be serious sometimes....huyo Lowasa aliiweka Sana Chadema Kwenye ramani 2015 just like 8+years ago.....Leo hii mmejisahaulisha....
Kuna muda MTU hudhani wanachadema wamezaliwa na Baba mmoja.
 
Haki huambatana na wajibu!
Katika ustaarabu tu wa kawaida , hata mtaani huwa unaona majirani husitisha shughuli zao kupisha shughuli za mazishi!
Sasa CHADEMA kimuhe muhe cha nini wakati Lowassa hata hajazikwa.
Ona hata tone ya Mnyika wakati anazunguza juzi pale Karimjee , Utadhani ana rap!
CHADEMA wapuuzi sana!
Uko sahihi.
 
Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
Kwani wamekulazimisha uache kulia?Wewe endelea kulia kwa juhudi zako zote.Maisha hayakusubiri.
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Ndio tuko kwenye maombolezo siku tano,
Tuambie shughuli yoyote iliyosimama kwa ajili ya maombolezo!
 
Wanafiki pambaneni na hali yenu..Mlimtukana Lowassa leo mnasema hakuwa na kosa...haya leo kafa .....kiko wapi
Wanasiasa uchwara wa bongo ni takataka si CCM wala Upinzani wote wapuuzi tu...atakaewasikiliza labda fala tu...
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Afadhali hao wanaenda kutetea maisha magumu ya watanzania, sisi mnyama tunaenda kushangilia tena ndani ya kambi ya jeshi leo.
 
Nyumbu hujaenda kuandamana au ndo unaandamana Kwenye smartphone 🤣🤣🤣🤣
Nipo chumba cha mawasiliano kuchukua taarifa.Roho inakuuma. Ulitamani maandamano yasiwepo uanze kujichekesha kama fisi wa maonesho kwenye mikutano ya CCM!Utaipandeka!
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Mama mwenyewe tangu msiba utokee anapiga kazi/kama sio kuzurura huko ughaibuni kama kawa.
Anarudi lini tuomboleze?
Hakuna shughuli iliyoahirishwa!!
 
Back
Top Bottom