Pre GE2025 Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa

Pre GE2025 Kamati ya Maridhiano ya Taifa yashangaa CHADEMA kufanya Maandamano wakati Taifa lina Misiba mitatu mikubwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Waache wafu wawazike wafu wao.

Kamati ya Amani na Maridhiano ni sehemu ya CCM kuwazodoa wenzao.

Hivi amani na maridhiano ndani ya mioyo yetu vinakujaje kwenye hili janga la kibadamu la umeme, maji, mfumuko wa bei, ukata na matatizo mengine?

Wao wasubiri bajeti ya kuzurura nchi nzima kuhubiri amani ya kuwasaidia watawala kuendelea kuwafanya raia misukule yao
 
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!

Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!

Maandamano yenu lazima yadode!

Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!

Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Waacheni watumie haki yao ya kikatiba...

Tunajua inatuuma sana CCM.
 
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!

Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!

Maandamano yenu lazima yadode!

Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!

Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Chama kinaongozwa na wehu kama Lema unategemea nini?
 
Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
Wana upimbi uliopituliza
 
Waacheni watumie haki yao ya kikatiba...

Tunajua inatuuma sana CCM.
Haki huambatana na wajibu!
Katika ustaarabu tu wa kawaida , hata mtaani huwa unaona majirani husitisha shughuli zao kupisha shughuli za mazishi!
Sasa CHADEMA kimuhe muhe cha nini wakati Lowassa hata hajazikwa.
Ona hata tone ya Mnyika wakati anazunguza juzi pale Karimjee , Utadhani ana rap!
CHADEMA wapuuzi sana!
 
Haki huambatana na wajibu!
Katika ustaarabu tu wa kawaida , hata mtaani huwa unaona majirani husitisha shughuli zao kupisha shughuli za mazishi!
Sasa CHADEMA kimuhe muhe cha nini wakati Lowassa hata hajazikwa.
Ona hata tone ya Mnyika wakati anazunguza juzi pale Karimjee , Utadhani ana rap!
CHADEMA wapuuzi sana!
Je wajibu HULAZIMISHWA?
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Kwani hayo maombolezo yamepunguza bei ya sukari na umeme kukatikakatika!!?
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Hawa chawa wa CCM waacheni
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono 😃😃
Waislam ktk swala la msiba limekuwa ni simple. Kuepusha fitna kama hizi. Na pia kuokoa fedha. Maana muislam ukinunuliwa kitambaa chako cha elf 2 ushazikwa
 
Maisha magumu acha tuandamane.hata sukari inawadhinda .Watumishi wa umma kikokotoo huku mishara hawajapandishiwa.
 
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!

Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!

Maandamano yenu lazima yadode!

Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!

Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!

Taifa lipi mzee watu tunaendelea na shughuli zetu kama kawaida.....
 
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa

Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike

Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa

Source Upendo TV

Mlale Unono [emoji2][emoji2]
Huyu ni mpumbavu sana
20230821_133253.jpg
 
Back
Top Bottom