Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Sijui wanaridhiana nini na nani kuhusu nini?Kamati ya amani na maridhiano !!! 🙄🙄
Maridhiano ?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui wanaridhiana nini na nani kuhusu nini?Kamati ya amani na maridhiano !!! 🙄🙄
Maridhiano ?!
Balozi Kamara ila misiba na maridhiano havina hata uhusianoNdiyo hata Mimi najiuliza.
Tunachojua ni kuwa tuna misiba 2 ya Lowasa na Msabaha, huo msiba wa 3 ni wa nani??
Au ndiyo anatabiri kuwa utakuwepo msiba mwingine mkubwa, wakati wowote kuanzia sasa!?
Possibly ni kuridhiana maridhiano yaridhiwe uridhianaji wa wanaoridhiana.Balozi Kamara ila misiba na maridhiano havina hata uhusiano
Waache wafu wawazike wafu wao.Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Waacheni watumie haki yao ya kikatiba...CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Chama kinaongozwa na wehu kama Lema unategemea nini?Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Wana upimbi uliopitulizaChama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
Haki huambatana na wajibu!Waacheni watumie haki yao ya kikatiba...
Tunajua inatuuma sana CCM.
Je wajibu HULAZIMISHWA?Haki huambatana na wajibu!
Katika ustaarabu tu wa kawaida , hata mtaani huwa unaona majirani husitisha shughuli zao kupisha shughuli za mazishi!
Sasa CHADEMA kimuhe muhe cha nini wakati Lowassa hata hajazikwa.
Ona hata tone ya Mnyika wakati anazunguza juzi pale Karimjee , Utadhani ana rap!
CHADEMA wapuuzi sana!
Kwani hayo maombolezo yamepunguza bei ya sukari na umeme kukatikakatika!!?Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Kwa mtu mwenye akili halazimishwi ila kwa wapumbavu hulazimishwa.Je wajibu HULAZIMISHWA?
Umeme Mgao mwisho leo 16 FebruaryKwani hayo maombolezo yamepunguza bei ya sukari na umeme kukatikakatika!!?
Na sukari!?Umeme Mgao mwisho leo 16 February
Sema maandamano yao.Kwa mtu mwenye akili halazimishwi ila kwa wapumbavu hulazimishwa.
Ngoja wananchi Mwanza wawaadhibu kwa kupuuza Maandamano yenu!
Hawa chawa wa CCM waacheniKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Waislam ktk swala la msiba limekuwa ni simple. Kuepusha fitna kama hizi. Na pia kuokoa fedha. Maana muislam ukinunuliwa kitambaa chako cha elf 2 ushazikwaKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Huyu ni mpumbavu sanaKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono [emoji2][emoji2]