CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Huyo shehe ubwabwa kiboko yake Mange Kimambi tuHuyo Alhad Salum ndo yule yule ama? Hiyo misiba kataja ni ya kina nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo shehe ubwabwa kiboko yake Mange Kimambi tuHuyo Alhad Salum ndo yule yule ama? Hiyo misiba kataja ni ya kina nani?
Watu nchi hii wameuwawa hata kabla Magufuli hajawa rais wa nchi hii,ila mnajitia upofu,shenzi kabisa weweHiyo kamati ya maridhiano inardhiana na Nani? Na iliundwa na Nani? Hiyo kamati ya maridhiano ingekuwa na utu ingekuwa imeisha arodhesha watu wote walio potea na kuuwawa kipindi cha Magufuli. Hapo wangekuwa na nguvu ya kuongelea utu.
Yule balozi aliyekuwa mbunge wa Nkenge huna taarifa?Ndiyo hata Mimi najiuliza.
Tunachojua ni kuwa tuna misiba 2 ya Lowasa na Msabaha, huo msiba wa 3 ni wa nani??
Au ndiyo anatabiri kuwa utakuwepo msiba mwingine mkubwa, wakati wowote kuanzia sasa!?
Wanafiki pambaneni na hali yenu..Mlimtukana Lowassa leo mnasema hakuwa na kosa...haya leo kafa .....kiko wapiKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono [emoji2][emoji2]
Jinga hiloKamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono [emoji2][emoji2]
Ndio kuna msiba lkn haina maana shuhuli zote zisimame hawez kuacha mapambano kwasab askari mmoja kafa vitani.Chama kinachojivunia usomi Kwamba kina wasomi kuliko wenzao CCM lakini kina Mambo ya hovyo Sana.
CHADEMA ni wapuuzi na hawajui wanachokipigania.....tuko Kwenye maombolezo wao wanaratibu ujinga wa kuandamana ili iweje?
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Umeme Mgao mwisho leo 16 February
CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Kamati ya Amani na Maridhiano inayoongozwa na Sheikh Alhad Musa Salum imesema siyo Haki Chadema Kufanya Maandamano wakati Huu nchi ikiwa Kwenye Misiba mitatu mikubwa
Kamati hiyo imewataka Chadema wafanye utu kwa kuahirisha Maandamano hayo hadi Shughuli za mazishi zikamilike
Mchungaji Mlata amewasihi Sana Chadema wajaribu Kuwa na Utu badala ya kulifarakanisha Taifa
Source Upendo TV
Mlale Unono 😃😃
Wananchi gani nawewe toa ujinga hapa.kwani hao chadema sio wananchi.acha kujipa umuhimu usio kuhusu kwenye mambo ya watu.CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!
Kweli, nimeikumbuka hii. Chadema waliwahi kutengwa kwenye msiba. Hivyo hata Leo Wana haki ya kuendelea kumuenzi marehemu Mgombea wao Lowasa Kwa staili waijuao wenyewe.Hahaha kuna ule mwaka chadema wanaenda kuhani msiba wakakataliwa kuingia na hata kuandika majina wakagomewa
Bunge je?CHADEMA ni wapuuzi sana! Taifa liko katika majonzi na maombolezo wao wanaandamana!
Akili za kijinga na kitoto toto kama hizo ndo maana wananchi huwadharU!
Maandamano yenu lazima yadode!
Halafu kumbe CHADEMA husomba watu wa kuandamana kutoka sehemu mbalimbali?! Nimeshangaa sana!
Nimeongea na Kiongozi mmoja wa CHADEMA mjini Musoma eti CHADEMA- Maandamano imewambia
Musoma mjini ipeleke waandamanaji 300 Mwanza na wajigharamikie wenyewe safari yao kwani CHADEMA haina Hela. Aibu saaana!!!!