Kamati ya rufaa TFF yaridhia Wambura kufungiwa maisha kujihusisha na soka

Anapenda sana mpira ila wenye system yao hawamtaki.Ndugu usiombee uwe ndani ya system ambayo ,watu wenyesystem yao hawakutaki watakuundia kila zenge kwani unawaharibia kufanya maovu yao,mimi nayajua haya na yashanikuta.
Kwa kweli nahisi itakuwa hivyo. Maana huyu jamaa nahisi hushinda kwa kuwa watu wa kawaida wanampenda; lakini wenye system yao kama unavyosema hawamtaki. Maana haiwezekani kila kukicha yeye na adhabu wanazompaga ni zile za kuhakikisha harudi tena kamwe! Hii inasikitisha sana kwa kweli
 
Huuu ni upuuzi mkubwa Wallace karia kaona wambura anampa wakat mgumu kamua kumtoa kwa njia yoyote ile ili apange watu wake
Bora niendele kuwa shabiki wa Uganda cyo taifa stars kwa njia hii hamna maendeleo ya soka la bongo
UHAMIAJI, mwingine huyu huku JF
 
Mafisadi hayakubaliki. Wambura auache mpira Wa Tz upumue.

Tangu FAT yupo tu ushaona wapi??? Jizi ni jizi hata Rais wetu anapinga ufisadi
Huyu atakuwa na matatizo,haiwezekani kila uongozi unaoingia yeye ndo anaonewa
 
Karia hapo TFF ukiishi kwa fitina ujue utaondoka kwa fitina hizo hizo
 
Wambura anayajua mengi ya kuvunda yafanywayo na baadhi ya viongozi wa juu wa tff ndiomana wanafanya kila hila zidi yake ili kumuondoa.
 
Sasa naamini Wambura ameundiwa zengwe la kumuondoa TFF kwa maslahi ya watu fulani.
 
HHuyo ni mpigaji kama walivyokuwa akina Rage,Malinzi n.k ila hakujua hizo zama zimeisha akaendelea.Hivyo visababu haviwezi mfutia tuhuma za msingi ambazo huko CAS ndiyo kabisa atajichimbia kaburi.Kumbe hiyo Jacks ni mmali yake.Hilo hamulioni kuwa ni zito sana?Afanye kazi nyingine
 
HHuyo ni mpigaji kama walivyokuwa akina Rage,Malinzi n.k ila hakujua hizo zama zimeisha akaendelea.Hivyo visababu haviwezi mfutia tuhuma za msingi ambazo huko CAS ndiyo kabisa atajichimbia kaburi.Kumbe hiyo Jacks ni mmali yake.Hilo hamulioni kuwa ni zito sana?Afanye kazi nyingine
 
C
CAS sio wapuuzi kama TFF,we kesi hata la saba hawezi amua kama vile.Alafu acha uwongo kama JACKS ni ya wambura ,TFF walishindwa nini kwenda BRELA kupata uthibitisho,acha kuendeshwa kama boya si wenzio mchezo tunaujua huo,jamaa hawamtaki ktk system yao anawazuia kupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…