Sifa ni kuwa chawa wa serikali?Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024
Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.
Mimi nilikua tu figisu zitahusikaKamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024
Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.
TLS imetekwa na CCM kama ilivyotekwa KKKTKamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024
Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.
CCM ipo kaziniMimi nilikua tu figisu zitahusika
TLS haina msaada wowote kwa nchi tena kama ilivyo UWT ya akina LucasWatu wenye akili siku zote lazima wakataliwe, tunapenda mambumbu wa sio jua kuhoji , wao ni ndio mzee tu.
Binafisi nawakubali sana Law Societies of Kenya, kuna Raisi wao mwanamke ni shida yule mdada anawakoromea hadi Majaji wa Kenya.Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024
Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.
Isha kuwa tawi la CCM ni kama ilivyo UVCCM au Jumuia ya Wazazi,TLS haina msaada wowote kwa nchi tena kama ilivyo UWT ya akina Lucas
Jamaa wanateka kila idara,TLS imetekwa na CCM kama ilivyotekwa KKKT
hatari snIsha kuwa tawi la CCM ni kama ilivyo UVCCM au Jumuia ya Wazazi,
Hatari snJamaa wanateka kila irada,
Usicheze na Dola - Salmin Amour JumaKamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024
Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.
Yap na hii system yetu, hawataki competitive individuals wanataka yes manWatu wenye akili siku zote lazima wakataliwe, tunapenda mambumbu wa sio jua kuhoji , wao ni ndio mzee tu.