Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Mwanasheria hajui sheria zinazompasa kuwa nazo ili kuwa rais 😂
 
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024

Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.

PIA SOMA
- Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

- Wakili Boniface Mwabukusi hafai na hastahili kuongoza TLS, heshima ya taasisi itashuka mno

- Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
kwamba nae alijiasses, akajithibitisha na kujiridhisha kwamba anafaa kuwaongoza TLS Kweli? saa zingine mizaha huwa inapitiliza sana aise 🐒
 
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024

Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.

PIA SOMA
- Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

- Wakili Boniface Mwabukusi hafai na hastahili kuongoza TLS, heshima ya taasisi itashuka mno

- Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
Swetbert Nkuba for President.
 
Nchi wa wajinga hii, kwahiyo wenye akili hawatakiwi.
 
TLS ilikuwa ngangari chini ya Rais Tundu Lissu na Rais Fatma Karume kabla ya kutekwa nyara na mfumo wa dola (State Capture) chini ya chama dola kongwe kioga CCM.

Hosea ndiye alipelekwa kuimalizia. Sijui walikuwa walikua Maharage ya wapi mpaka wakamchagua huyo Shushushu.
 
Ni vyema kuxingatia nidhamu popotr tulipo, Mwabukusi mpaka wanasheria wenzake wanamkataa kwa kukosa maadili.
Screenshot_20240706-214653.jpg
 
Kile chama walikiharibu Tundu Lisu na Fatma karume.

Huyu nae alitaka kuleta mambo kama ya hao.

Bora wamemkataa.

Atafute platform sahihi ambayo ni chama cha siasa akafanyie siasa zake huko.
 
Watanzania ni watu wanaopenda viongozi wezi waambiwe taratibu ila vibaka wadogo wadogo wachomwe moto. Kuwambia viongozi wezi kuwa ni wezi basi kwa watanzania ni ukosefu wa maadili
 
Ni vyema kuxingatia nidhamu popotr tulipo, Mwabukusi mpaka wanasheria wenzake wanamkataa kwa kukosa maadili.
View attachment 3035204
Naunga mkono .Huyu Bw. hana adabu kabisa.Hana lugha ya stara na ataipunguzia heshima hii taasisi.Mwanasheria gani wa sampuli hii !!!!!!!.Nadhani kauli zake za ovyo zilikuwa na lengo la kutengeneza kiki kwa minajili ya maslahi yake ya baadae lakini kakosea mahesabu.Ndani ya TLS wapo watu wenye akili na heshima zao ambao hawawezi kumkubali mtu mpuuzi kama Mwabukusi.
 
Back
Top Bottom