Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

Ni vyema kuxingatia nidhamu popotr tulipo, Mwabukusi mpaka wanasheria wenzake wanamkataa kwa kukosa maadili.
View attachment 3035204
mambo haya yapo Tz tu. kama wasomi wanasheria wapo hivi unadhani wauza kuku Kariakoo watakuwaje? Kwanini wasimkatae katika sanduku la Kura? Narudia kusema kosa watu wa Pwani wavaa makubazi kumsadia Nyerere kudaid uhuru , hadi leo Tanganyika Ujerumani angalikuwa anatawala
 
Huyu Mgombea Duni ndio sababu ya kumuengua Mwabukusi, maana huyu kaletwa kwa kificho na ccm ili TLS iwe kitengo cha ccm.

Ikumbukwe kwamba hatukatazi wanaccm kugombea uongozi wa TLS, Tunachopinga ni kuhujumu Wagombea wengine ili Mwanaccm apite kibwege, Hata wakati Lissu anagombea TLS hakuingia kwa kificho, alitangaza wazwazi na wala hakuhujumu Wagombea wengine, wagombea wote waruhusiwe washindane kwa hoja.

Screenshot_2024-07-07-21-25-33-1.png


Hata hivyo hatutakubali na huu ndio waweza kuwa mwisho wa TLS, lazima tugawane mbao.
 
Huyu Mgombea Duni ndio sababu ya kumuengua Mwabukusi, maana huyu kaletwa kwa kificho na ccm ili TLS iwe kitengo cha ccm.

Ikumbukwe kwamba hatukatazi wanaccm kugombea uongozi wa TLS, Tunachopinga ni kuhujumu Wagombea wengine ili Mwanaccm apite kibwege, Hata wakati Lissu anagombea TLS hakuingia kwa kificho, alitangaza wazwazi na wala hakuhujumu Wagombea wengine, wagombea wote waruhusiwe washindane kwa hoja.

View attachment 3036109

Hata hivyo hatutakubali na huu ndio waweza kuwa mwisho wa TLS, lazima tugawane mbao.
Una mkwara!utadhani utakua frontline kwenye mapambano!!
 
Huyu Mgombea Duni ndio sababu ya kumuengua Mwabukusi, maana huyu kaletwa kwa kificho na ccm ili TLS iwe kitengo cha ccm.

Ikumbukwe kwamba hatukatazi wanaccm kugombea uongozi wa TLS, Tunachopinga ni kuhujumu Wagombea wengine ili Mwanaccm apite kibwege, Hata wakati Lissu anagombea TLS hakuingia kwa kificho, alitangaza wazwazi na wala hakuhujumu Wagombea wengine, wagombea wote waruhusiwe washindane kwa hoja.

View attachment 3036109

Hata hivyo hatutakubali na huu ndio waweza kuwa mwisho wa TLS, lazima tugawane mbao.
Mimi nishabeba fito mkuu.
 
Sasa nchi itaendeleaje kama kila jumuia serikali ipo na inachagua viongozi wake?
 
Kile chama walikiharibu Tundu Lisu na Fatma karume.

Huyu nae alitaka kuleta mambo kama ya hao.

Bora wamemkataa.

Atafute platform sahihi ambayo ni chama cha siasa akafanyie siasa zake huko.
Aise!
 
Kile chama walikiharibu Tundu Lisu na Fatma karume.

Huyu nae alitaka kuleta mambo kama ya hao.

Bora wamemkataa.

Atafute platform sahihi ambayo ni chama cha siasa akafanyie siasa zake huko.
Wewe hata meno huna
 
Kile chama walikiharibu Tundu Lisu na Fatma karume.
Huyu nae alitaka kuleta mambo kama ya hao
.
Bora wamemkataa.
Atafute platform sahihi ambayo ni chama cha siasa akafanyie siasa zake huko.
Dua la kuku!
Usiyempenda kaja. Kama umekeleka kalambe malimao.
 
Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024

Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika.

PIA SOMA
- Je, Boniface Mwabukusi atafanikiwa kuirejesha TLS kwenye ubora wake?

- Wakili Boniface Mwabukusi hafai na hastahili kuongoza TLS, heshima ya taasisi itashuka mno

- Wakili Mwabukusi Apewa Onyo na Kamati ya Mawakili ya Maadili 'Hatutakiwi Kuogopa'
WAliomkata jina kwa maelekezo sijui wanajiskiaje kwa sasa !
 
Kile chama walikiharibu Tundu Lisu na Fatma karume.

Huyu nae alitaka kuleta mambo kama ya hao.

Bora wamemkataa.

Atafute platform sahihi ambayo ni chama cha siasa akafanyie siasa zake huko.
Platfom gani ili tumjulishe ?
 
Back
Top Bottom