Chipoku
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 254
- 181
Habari wana JF!
Ni dhahili kuwa 2020 rushwa ni kigezo kikuu cha kukubalika katika mchakato wa kupata wagombea wa ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (ccm)! Na hili limelalamikiwa na tumelilalamikia tangu mchakato haujaanza , Ila penye udhia penyeza rupia ndio staili. Mwenyekiti wetu mh rais jpm, katibu mkuu mh bashiru ali na baadhi ya wajumbe waaminifu wa kamati kuu CCM taifa wana kazi sana mwaka huu sababu sarakasi ni nyingi, ni mwendo wa kushindana fedha tu.
Jimboni ukonga kabla ya mchakato wa kura za maoni kuna baadhi ya wagombea waliitwa na takukuru kwa rushwa mara kadhaa, waliitwa na kamati ya maadili wilaya ya ilala mara kadhaa nk.
Wakati na baada ya mchakato malalamiko yamekuwa mengi mno na mengi yamepelekwa ngazi mbali mbali, kuanzia ccm mkoa dsm kwa katibu hadi kwa viongozi wa kitaifa . Shaidi mbalimbali zimewasilishwa mkoani na taifa za rushwa ya wazi wazi , unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na uhusika wa baadhi ya watu wa takukuru na usalama ngazi ya wilaya nk.
Kuanzia namba moja hadi nne (1-4) walikuwa katika tuhuma hizo. Aliyekuwa namba 1 (jerry silaa) , namba 2 (r.Masegese ) na namba 3 (m.Msofe); na nne wote kwa nyakati tofauti walishaitwa na kamati ya maadili kwa rushwa, kuanza kampeni mapema na makosa mengine ya kinidhamu.
Cha kushangaza katika kikao chake cha kutoa mapendekezo kwa kamati kuu ya ccm; kamati ya siasa mkoa kikiongozwa na mama kate kamba kimependekeza namba 2, namba 3 na ndugu a.Tukiko ili waendelee na mmoja wapo apeperushe bendera ya ccm ukonga 2020 kwa nafasi ya ubunge. Hii imevuja sababu wahusika wanalaumiana katika grup sababu aliyehonga mil. 3 kwa wajumbe 11 wa kamati ya siasa mkoa wa dsm amekuwa wa pili (masegese) na aliyetoa mil.2 kwa wajumbe kawa wa 3 na a.Tukiko mmemweka namba 1 ingawa katoa m.1.5 kwa kila mjube.
Kwanza (1) wote wana doa la maadili na rushwa
(2) Mnawaandalia njia ya kushinda wapinzani, sababu hii mizigo haiuziki
(3) Hamkuzingatia jenda,sababu wadada wanaohitajika tuwape jimbo hawana fedha za rushwa wengi wao
(4) Mama kate hata kama unajiandaa kupumzika, hivyo huna cha kupoteza kwa maamuzi haya ya kuangamiza chama, bado umejiharibia sana sana. Ondoka kwa heshima.
(5) Kwa kuwa watu hawa wanatamba washaonana na mwenezi (h.Polepole ) hivyo atawabeba, mwenezi tunza heshima yako... Usije ondoka kwa rushwa za ukonga. Tenda haki.
(6) Kumkata Jerry na kumuacha Masegese na Msuya ni kituko cha karne. Tofauti yao ni majina tu na jinsi walivyopata fedha za kuhonga; wakati masegese kakopa mil.50 ya kuhonga benk, jerry kadondoshewa fedha na ridhwani jk ! Wote ni vinara wa rushwa.
Ukonga inajua kuwa mmetumia ugeni wa katibu wa mkoa ccm (ana wiki ya 2 kazini); mwenezi kuwa bize na harusi na ugeni wa mkuu wa mkoa kufanya rafu na kuendekeza njaa.
Mwisho: acheni kumchosha mwenyekiti wa CCM taifa Mh JPM, ana mengi sio kuangalia rushwa tu.
Msilazimishe kuliweka rehani jimbo la Ukonga.
Ni dhahili kuwa 2020 rushwa ni kigezo kikuu cha kukubalika katika mchakato wa kupata wagombea wa ubunge kwa tiketi ya chama cha mapinduzi (ccm)! Na hili limelalamikiwa na tumelilalamikia tangu mchakato haujaanza , Ila penye udhia penyeza rupia ndio staili. Mwenyekiti wetu mh rais jpm, katibu mkuu mh bashiru ali na baadhi ya wajumbe waaminifu wa kamati kuu CCM taifa wana kazi sana mwaka huu sababu sarakasi ni nyingi, ni mwendo wa kushindana fedha tu.
Jimboni ukonga kabla ya mchakato wa kura za maoni kuna baadhi ya wagombea waliitwa na takukuru kwa rushwa mara kadhaa, waliitwa na kamati ya maadili wilaya ya ilala mara kadhaa nk.
Wakati na baada ya mchakato malalamiko yamekuwa mengi mno na mengi yamepelekwa ngazi mbali mbali, kuanzia ccm mkoa dsm kwa katibu hadi kwa viongozi wa kitaifa . Shaidi mbalimbali zimewasilishwa mkoani na taifa za rushwa ya wazi wazi , unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na uhusika wa baadhi ya watu wa takukuru na usalama ngazi ya wilaya nk.
Kuanzia namba moja hadi nne (1-4) walikuwa katika tuhuma hizo. Aliyekuwa namba 1 (jerry silaa) , namba 2 (r.Masegese ) na namba 3 (m.Msofe); na nne wote kwa nyakati tofauti walishaitwa na kamati ya maadili kwa rushwa, kuanza kampeni mapema na makosa mengine ya kinidhamu.
Cha kushangaza katika kikao chake cha kutoa mapendekezo kwa kamati kuu ya ccm; kamati ya siasa mkoa kikiongozwa na mama kate kamba kimependekeza namba 2, namba 3 na ndugu a.Tukiko ili waendelee na mmoja wapo apeperushe bendera ya ccm ukonga 2020 kwa nafasi ya ubunge. Hii imevuja sababu wahusika wanalaumiana katika grup sababu aliyehonga mil. 3 kwa wajumbe 11 wa kamati ya siasa mkoa wa dsm amekuwa wa pili (masegese) na aliyetoa mil.2 kwa wajumbe kawa wa 3 na a.Tukiko mmemweka namba 1 ingawa katoa m.1.5 kwa kila mjube.
Kwanza (1) wote wana doa la maadili na rushwa
(2) Mnawaandalia njia ya kushinda wapinzani, sababu hii mizigo haiuziki
(3) Hamkuzingatia jenda,sababu wadada wanaohitajika tuwape jimbo hawana fedha za rushwa wengi wao
(4) Mama kate hata kama unajiandaa kupumzika, hivyo huna cha kupoteza kwa maamuzi haya ya kuangamiza chama, bado umejiharibia sana sana. Ondoka kwa heshima.
(5) Kwa kuwa watu hawa wanatamba washaonana na mwenezi (h.Polepole ) hivyo atawabeba, mwenezi tunza heshima yako... Usije ondoka kwa rushwa za ukonga. Tenda haki.
(6) Kumkata Jerry na kumuacha Masegese na Msuya ni kituko cha karne. Tofauti yao ni majina tu na jinsi walivyopata fedha za kuhonga; wakati masegese kakopa mil.50 ya kuhonga benk, jerry kadondoshewa fedha na ridhwani jk ! Wote ni vinara wa rushwa.
Ukonga inajua kuwa mmetumia ugeni wa katibu wa mkoa ccm (ana wiki ya 2 kazini); mwenezi kuwa bize na harusi na ugeni wa mkuu wa mkoa kufanya rafu na kuendekeza njaa.
Mwisho: acheni kumchosha mwenyekiti wa CCM taifa Mh JPM, ana mengi sio kuangalia rushwa tu.
Msilazimishe kuliweka rehani jimbo la Ukonga.