Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AFADHALI USHASEMA HUJUI KAMA ANAZO MKUU SABABU HUMJUI ! TAKUKURU KAITWA MARA NGAPI ? MAADILI JE ? SARE ALIZOWASHONEA WANA MAJOHE NI SADAKA ? USITAKE TUMVUE NGUO ZAIDI ? KWANINI ALIPATA KURA KWENYE SANDUKU LA KATA YA MAJOHE TUU ?!?
Ongeza sauti.Mbona TULIA ackson alianza KAMPENI na kutoa takrima (RUSHWA) mapema KABLA ya wakati wa kutia Nia na aliachwa aendelee?
CCM bila rushwa haiwezekani
Kumbe kheri James nae anakula Rushwa ya Maungoni eeeeenh, hii CCM inatuchafulia sana dada zetu na kizazi chetu, hebu imagine katika umri wa vijana wana practice Rushwa wakiwa wakubwa je, ila aibu hii itaondoka tu pale CCM watakapokua ni Chama Pinzani.Akiongea utadhani kweli ni mzalendo , muadilifu !Kumbe lol, ukijipeleka tu kama dada utatoa mzigo kama kwaHeri James au rushwa ya kutosha. Hana huruma kabisa
Walaji wa rushwa ndani ya CCM ni watu wenye umri wa miaka 40+ na sijui ni njia gani itatumika kupunguza kundi la umri huo ndani ya chama na kuongeza kundi la umri wa 18+ ndani ya chamaKumbe kheri James nae anakula Rushwa ya Maungoni eeeeenh, hii CCM inatuchafulia sana dada zetu na kizazi chetu, hebu imagine katika umri wa vijana wana practice Rushwa wakiwa wakubwa je, ila aibu hii itaondoka tu pale CCM watakapokua ni Chama Pinzani.
Kheri James ambae ni mwenyekiti wa UVCCM ana umri gani maana ili uwe na cheo pale kuna umri flani uwe nao.Walaji wa rushwa ndani ya CCM ni watu wenye umri wa miaka 40+ na sijui ni njia gani itatumika kupunguza kundi la umri huo ndani ya chama na kuongeza kundi la umri wa 18+ ndani ya chama
Kheri James ambae ni mwenyekiti wa UVCCM ana umri gani maana ili uwe na cheo pale kuna umri flani uwe nao.
[/QUOTE
95% ya wajumbe wa CCM waliopiga Kura za maoni umri wao ni 45+ na kiwango Cha elimu zao ni STD 7 na kidato Cha nne waliofeli. Kundi hilo ndipo ninalochagua viongozi wa nchi wenye Dr,Prof nk.ili wakawe mawaziri ,madiwani na wabunge.What do you expect?
Hukutakiwa kuyaanika huku nje mambo yanayofanyika ndani, ndio maana unaonekana huna dhamira ya kukisaidia bali kukichafua chama. Taarifa kama hii ina mikondo yake ya kuifikisha, kama huiamini basi ungepeleka TAKUKURUANAYESEMA NDIO ANACHAFUA CHAMA !?
Mkuu kwani kuitwa takukuru ndio kutoa rushwa?. Sisi tunamtaka Mr Masegese, Ukonga inahitaji kijana Muungwana na mchapa kazi.AFADHALI USHASEMA HUJUI KAMA ANAZO MKUU SABABU HUMJUI ! TAKUKURU KAITWA MARA NGAPI ? MAADILI JE ? SARE ALIZOWASHONEA WANA MAJOHE NI SADAKA ? USITAKE TUMVUE NGUO ZAIDI ? KWANINI ALIPATA KURA KWENYE SANDUKU LA KATA YA MAJOHE TUU ?!?
UNAMTAKA SIO TUNAMTAKA. HATA KAMA KATUSHONEA SARE SIKU YA KURA YA MAONI TUPO TULIOZIRUDISHA NA KAMA NDIO WEWE MWENYEWE UNALIJUA HILO ! WAKALA WAKO TWALIPO ALIZIRUDISHA NGAPI!Mkuu kwani kuitwa takukuru ndio kutoa rushwa?. Sisi tunamtaka Mr Masegese, Ukonga inahitaji kijana Muungwana na mchapa kazi.
Mr Masegese namfahamu ni kijana mwenye ushawishi mkubwa ila hana hizo pesa unazodai wewe. Maisha yake pia ya kawaida kabisa. Punguza tu chuki tushikamane kubeba jimbo.
Mr Silaa nadhani ungetusaidia sana kwa kufichua hizo rushwa badala ya kulia Lia na kutoa madai ya jumlaMsilazimishe kuliweka rehani jimbo la Ukonga.
Rushwa imetapakaaa CCM nchi nzima.wenyeviti wa CCM mkoa,wilaya,makatibu waccm wilaya,wajumbe,viti maalumu,wenezi,mabalozi wa mashina .Sasa Hali hii ukiendelea 2025 CCM itakuwa KANU .Mr Silaa nadhani ungetusaidia sana kwa kufichua hizo rushwa badala ya kulia Lia na kutoa madai ya jumla
NDIO WAKATI MUAFAKA KWA KAMATI KUU YA CCM KUONDOA HILI KWA VITENDO WALE WALKO SALIA !Rushwa imetapakaaa CCM nchi nzima.wenyeviti wa CCM mkoa,wilaya,makatibu waccm wilaya,wajumbe,viti maalumu,wenezi,mabalozi wa mashina .Sasa Hali hii ukiendelea 2025 CCM itakuwa KANU .
Duh kwaiyo huu Uchaguzi umewapa viongozi na wajumbe umilionea kimasiharamasihara.Rushwa imetapakaaa CCM nchi nzima.wenyeviti wa CCM mkoa,wilaya,makatibu waccm wilaya,wajumbe,viti maalumu,wenezi,mabalozi wa mashina .Sasa Hali hii ukiendelea 2025 CCM itakuwa KANU .
Huyo jamaa hapo pichani alishagombea u-boss huko UVCCM huku akiwa ni mzee.Walaji wa rushwa ndani ya CCM ni watu wenye umri wa miaka 40+ na sijui ni njia gani itatumika kupunguza kundi la umri huo ndani ya chama na kuongeza kundi la umri wa 18+ ndani ya chama
...😂😂😂... starehe haina umri mkuu.Huyo jamaa hapo pichani alishagombea u-boss huko UVCCM huku akiwa ni mzee.
Hapo pichani alikua na vijana wenzake kwny after school bash.View attachment 1532095