Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kamati ilioteuliwa siku 7 kabla ya derby imeishia wapi
nahisi kwa wakati huu wa mapito mngeitumia ile kamati kuwasaidia mambo ya kiufundi
inavyoonekana simba mtalia mexhi zijazo kwa sababu pale mnapopitia mshinde wenzenu wanapigilia misumari .......
msiiache hii kamamati kama mna mpango wa kusurvive mwaka huu kwenye ligi
nahisi kwa wakati huu wa mapito mngeitumia ile kamati kuwasaidia mambo ya kiufundi
inavyoonekana simba mtalia mexhi zijazo kwa sababu pale mnapopitia mshinde wenzenu wanapigilia misumari .......
msiiache hii kamamati kama mna mpango wa kusurvive mwaka huu kwenye ligi