Benchi walinikosea sana. Halafu kibaya zaidi unampanga Metacha! Kweli?? Metacha??? Of all the people unaenda kumuweka Metacha MNATO golini.Maelezo mengi sana. Mkuu tumeshafungwa tujipange na mechi ijayo na Ahly Lupaso. Naamini wachezaji watakua wamepata muda wa kutosha kupumzika na kujifanyia tafakari wapi walikosea pamoja na bench lote
Usinitukane basi sister? Niheshimu kwani sijakutukana dada yangu. Mimi dingi la mishe sitaki ugomvi nawe dada yangu kipenzi.Vizuri kwa kumtetea mumeo aisee unampenda sana hadi kumfollow,, kama vipi sepa nae
Labda mkeo aliyeniwakia Dingi la misheHalafu baada ya wiki mbili unakuja na uzi hapa " Hivi jamani Likud siku hizi yupo wapi?"
Acha tuendelee kujaza serverUsinitukane basi sister? Niheshimu kwani sijakutukana dada yangu. Mimi dingi la mishe sitaki ugomvi nawe dada yangu kipenzi.
Labda mkeo aliyeniwakia Dingi la mishe