Ndo hii mihemko ninayokuambia. Mgumba kachelewa hedhi sijui akipata mimba itakuaje.Yanga ni kama P Diddy Kila timu itapakwa mafuta tu,sema kiwango Cha mafuta kinaweza kuwa tofauti tofauti,mfano Simba alipakwa chupa 7, jana kapakwa 1 bado chupa 7 ili zikamilike chupa 8 za msimu huu.
Lazima tuhemke ili isimame afu ndo tuwapaka mafuta mbumbumbu, ndo timu ambayo inatufilisi mafuta sababu tunaipaka mara kwa mara chupa nyingi zinatumikaNdo hii mihemko ninayokuambia. Mgumba kachelewa hedhi sijui akipata mimba itakuaje.
Mihemko akilini.Lazima tuhemke ili isimame afu ndo tuwapaka mafuta mbumbumbu, ndo timu ambayo inatufilisi mafuta sababu tunaipaka mara kwa mara chupa nyingi zinatumika
na bila kuhemka haisimami, so tutakupakaje mafuta mbumbumbu?!Mihemko akilini.
Wewe naonekana haupo kwenye kundi la wenye mihemko kwenye soka, wewe ipo kwenye kundi la wapenda ngono.na bila kuhemka haisimami, so tutakupakaje mafuta mbumbumbu?!
KMC hii iliyo pigwa tano nje ndani na Yanga msimu uliopita ndiyo iliyo sumbuliwa na Awesu ? Kweli ndugu yangu....Awesu alipokua KMC aliisumbua yanga sana sjui kwann hakupewa nafasi Jana.
mpakwa mafuta unawaza ngono tu! 😂😂Wewe naonekana haupo kwenye kundi la wenye mihemko kwenye soka, wewe ipo kwenye kundi la wapenda ngono.
Uko sahihi kabisa mkuu. Hili swala la kibu nilishajiuliza Sana. Kwani kila anapofanyiwa sub lazima simba ipotee?Udhaifu wa Simba upo wazi si kwa Yanga tu ila hata mechi nyingine. Pumzi hukata kipindi cha pili mapema mno.
Jana baada ya HT tu nikajua tushapigwa maana Yanga ndo huwa wakali mno huo wakati. Kocha afanyie kazi pumzi, wachezaji wawe aggressive zaidi kipindi cha pili.
Huwa tunamlaumu sana Kibu ila kila akitoka ndo tunapoteza halafu kibu nadhani anajua hapendwi na mashabiki wa timu yake, anatumia nguvu kubwa mno kuwabadili mawazo.
Unawaza ngono sana mkuu. Akili imejaa mambo ya ngono tu mpaka mifano yako ni ngono tu.mpakwa mafuta unawaza ngono tu! 😂😂
Kibu anatumia nguvu mno kuipigania Simba. Nimeangalia clip zake jamaa ni kama anakamiwa pia, anachezewa rafu mno na si refa wala mashabiki wanaomlinda.Uko sahihi kabisa mkuu. Hili swala la kibu nilishajiuliza Sana. Kwani kila anapofanyiwa sub lazima simba ipotee?
Swala sio kufungwa swala ni mchezaji individual aliperfomKMC hii iliyo pigwa tano nje ndani na Yanga msimu uliopita ndiyo iliyo sumbuliwa na Awesu ? Kweli ndugu yangu....
Individual performance kweli ,mechi niliziona zote na sikuona alicho kifanya, okay tuanze statically Awesu alifanya siku hiyo?Swala sio kufungwa swala ni mchezaji individual aliperfom
wewe mpakwa mafuta ndo umeleta neno ngono hapa, sababu ndo kitu unawazaUnawaza ngono sana mkuu. Akili imejaa mambo ya ngono tu mpaka mifano yako ni ngono tu.
Hivi unajua unachoongea lakini? Kwa hiyo wewe fantasy yako ni kumuingia mwanaume mwenzio kingono?Yanga ni kama P Diddy Kila timu itapakwa mafuta tu,sema kiwango Cha mafuta kinaweza kuwa tofauti tofauti,mfano Simba alipakwa chupa 7, jana kapakwa 1 bado chupa 7 ili zikamilike chupa 8 za msimu huu.
nani kukuambia hayo?Hivi unajua unachoongea lakini? Kwa hiyo wewe fantasy yako ni kumuingia mwanaume mwenzio kingono?
Ndiyo maana nimekuuliza unajua unachoongea au kama jamaa anavyokwambia umejaa muhemkonani kukuambia hayo?
wewe na huyo jamaa yako mna kimuhemuhe cha kupakwa mafuta mara nne mfululizoNdiyo maana nimekuuliza unajua unachoongea au kama jamaa anavyokwambia umejaa muhemko
Rejea hoja zako utajionea huruma. Unamuwaza sijui pididi mwenye kashfa ya ufiraji mpaka watoto, unawaza mafuta yaani ubongo umechafuka upo tepetepe ndembendembe.wewe mpakwa mafuta ndo umeleta neno ngono hapa, sababu ndo kitu unawaza
Umeshatuambia wewe hisia zako zinazokuendesha zinakuvutia kupaka mafuta ili kuingilia wanaume wenzio kingono. Kwa definition, wewe ni shogawewe na huyo jamaa yako mna kimuhemuhe cha kupakwa mafuta mara nne mfululizo