Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

5imba ni mbumbumbu sana... Coach wenu na wachezaji wenu useless walishindwa kutegua mtego wa Gamond ktk kipindi cha kwanza... Dk45 za kwanza Yanga walimuacha 5imba amiliki mpira ktk half space yao na wachezaji wa Yanga walikabia chini katikat ya uwanja... Hii maana yake Gamond aliwaacha 5imba wajichoshe kiakili na kimwili ktk kuifungua Yanga....
Kipindi cha pili Gamond aliwaruhusu wachezaji wake wakabie juu tena kwenye 18 ya mpinzani ndio maana mlikuwa mnaona Aziz alikuwa anamkumbusha Dube kukabia juu, maana yake high press itawapotoa 5imba mchezoni... Na Gamond alipoona 5imba wameanza kuingia ktk mfumo akawaingiza Mzize na Musonda 😂😅 hapa ndipo Gamond aliitaka mechi iishe kwa ushindi... Alivyo na roho mbaya akamuingiza Chama ambaye aliingia kwa lengo la kutoa pasi za magoli tu kwasababu 5imba ilikuwa tayari imetepeta na kuruhusu mianya...
5imba mngeamua kuwa watulivu kipindi cha pili ilitakiwa mcheze kama Yanga walivyo cheza kipindi cha kwanza, na mngefanya hivi mechi ingeisha 0-0

Next time mheshimuni Gamond huyu mzee anajua mpira ndani na nje ya uwanja...
 
Rejea hoja zako utajionea huruma. Unamuwaza sijui pididi mwenye kashfa ya ufiraji mpaka watoto, unawaza mafuta yaani ubongo umechafuka upo tepetepe ndembendembe.
nawaza Yanga jinsi ilivyowapaka mafuta mbumbumbu mara nne mfululizo
 
Umeshatuambia wewe hisia zako zinazokuendesha zinakuvutia kupaka mafuta ili kuingilia wanaume wenzio kingono. Kwa definition, wewe ni shoga
😂😂😂mpakwa mfuta buana! shoga ni wewe unayepakwa mafuta.
 
nawaza Yanga jinsi ilivyowapaka mafuta mbumbumbu mara nne mfululizo
We rejea hoja zako jitazame uone yaliyoujaza ubongo wako mkuu.
mirror-cry.gif
 
hoja yangu ni mbumbumbu kupakwa mafuta mara nne mfululizo,
Sasa mpira na mafuta sijui pididi wapi na wapi, Embu jisahihishe mkuu kwa usalama wa afya yako ya akili.

Ubongo unawaza kupakana mafuta tu boss? Mafuta sijui pididi? Kweli kabisa yaani katika mifano yoote ya kulinganisha ushindi wa timu yako ubongo wako ukaja na pididi na mafuta?
 
Sasa mpira na mafuta sijui pididi wapi na wapi, Embu jisahihishe mkuu kwa usalama wa afya yako ya akili.

Ubongo unawaza kupakana mafuta tu boss? Mafuta sijui pididi? Kweli kabisa yaani katika mifano yoote ya kulinganisha ushindi wa timu yako ubongo wako ukaja na pididi na mafuta?
kweli kabisa mfano halisi wa hizo dozi alizogawa Yanga kwa mbumbumbu ni kama didy anavyopaka watu mafuta, Mbona nyie club yenu tena viongozi kabisa wa timu kwenye tukio kubwa kabisa la timu yenu katika mifano yooote ya kukejeli Yanga mkaamua kuleta jeneza kwa mkapa, si bora nyie tunawapaka mafuta tu lakini nyie mlituweka kwenye jeneza na kutufanyia mazishi😭😭
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kibu anatumia nguvu mno kuipigania Simba. Nimeangalia clip zake jamaa ni kama anakamiwa pia, anachezewa rafu mno na si refa wala mashabiki wanaomlinda.
Mchezaji msimu mzima ana goli moja nani amkamie
 
Nimeutizama mpira jana safu yetu ya ushambuliaji ukimtoa Ateba hakuna mwingine aliyekuwa anaelewa nini timu inatakiwa kufanya.

Nikiri tu kusema Simba tumepata kocha mzuri sana ila tatizo lipo kwenye magarasa aliyoletewa na yale aliyoyakuta.

Najiuliza aliyemleta Mutale na Ahoua alifikiria nini aisee? Hawa jamaa sio level ya Simba. Hawaeleweki na hawajui nini wanatakiwa kufanya zaidi ya kukimbia na kuanguka ovyo uwanjani.

Bado kuna mrundi Kibu aisee huyu jamaa ni kichomi, anachojua yeye ni kukaa na mpira muda mrefu ili afanyiwe fouls, hana maamuzi mazuri uwanjani anachojua ni kukimbia tu pale anapopewa mpira mwisho wa safari akiguswa kidogo ni kuanguka na kubingirika.

Yaani mara mia angecheza Awesu Awesu. Kamati ya Usajili iache janja janja kutafuna pesa za mwekezaji bila ya huruma. Pia Shabalala na Kapombe watupishe kwenye timu, ni aina ya zile beki namba mbili na tatu na zamani ambao wao hukaa nyuma na kuwaacha mawinga mbele.

Timu inakosa balance kwenye kushambulia na hawa tunaposhambuliwa sio wazuri kuzuia. Wat watatu nyuma ya Ateba ni ovyo pamoja na mabeki wa pembeni.
Si Bado mnajenga timu ....mkifikia kwenye lenta mtatuambia ....
 
Kibu anatumia nguvu mno kuipigania Simba. Nimeangalia clip zake jamaa ni kama anakamiwa pia, anachezewa rafu mno na si refa wala mashabiki wanaomlinda.
Siku hizi kawa Mzururaji mzuri tu hana tofauti na mla mshahara bure 😁

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
kipindi kile simba tuliwazidi lakini sio kiivo sana ndio maana hata yanga waliweza kupambana wakapata sare leo hii yanga katupiga gepu kubwa sana kuliko hata tulivyo mzidi sisi miaka ile just imagine second half hata pasi 4 kupiga ilikuwa mtihani,yanga haikuwa mbovu sana hela tu ndio walikua hawana. We have everything but still tunastruggle why? Hatuna viongozi wenye uchungu na simba wengi wao ni mamluki,wasaliti,wezi,wapigaji,waongo,ndumilakuwili wanajali matumbo yao tu.
Viongozi walikuwa wabaya kiasi hicho na bado timu ikachukua ubingwa mara nne mfulilizo , Je, wangekuwa wazuri wangefanya nini?
 
kweli kabisa mfano halisi wa hizo dozi alizogawa Yanga kwa mbumbumbu ni kama didy anavyopaka watu mafuta, Mbona nyie club yenu tena viongozi kabisa wa timu kwenye tukio kubwa kabisa la timu yenu katika mifano yooote ya kukejeli Yanga mkaamua kuleta jeneza kwa mkapa, si bora nyie tunawapaka mafuta tu lakini nyie mlituweka kwenye jeneza ka kutufanyia mazishi😭😭
Haya mkuu.
 
Simba ina wachezaji wazuri tu, kuwapata wazuri zaidi ya hawa waliopo itahitaji uvumilivu kutokana na uwezo mdogo wa kifedha. Wachezaji wa Simba wasionekane wabaya kisa kufungwa na Yanga sababu Yanga wanaweza mfunga yeyote Afrika hii.
Simba mchezaji Debora tu
 
Back
Top Bottom