Kamati yafichua wananchi waliopigwa risasi na kujeruhiwa na muwekezaji

Kamati yafichua wananchi waliopigwa risasi na kujeruhiwa na muwekezaji

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
kamati ya bunge imebainisha vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu vinavyofanywa na na walinzi wa malonje na kua vitendo hivyo vinatokana na miongozo kutoka kwa wamiliki wa shamba hilo, amesema kua kamati imebaini kuwepo na vurugu kati ya walinzi wa shamba la malonje na wananchi wa vijiji vilivyo karibu na shamba la malonje. Aidha matokeo ya vurugu hizo yamepelea mlinzi wa shamba la malonje kuuwawa na baadhi ya wanhanchi kujeruhiwa kwa silaha za moto maeneo tofaut tofaut ya mwili. hospitali pamoja na wananchi wamethibitisha kwa kamati kua wamepigwa risasi na walinzi wa shamba hilo.
 
Sasa sikiliza maamuzi yatakayo tolewa hapo utashangaa! Mara utasikia wananchi wamemchokoza mwekezaji duh!
 
Back
Top Bottom