Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,650
Akina Mawingu mkuu. Si misiba mingi huwa wanaiendea na ndizi na pilipili mkuu!
Funguka basi.Upande wa pili ndo kina nani?
Safi sana. Hii kamati kabla ya 2015 watavaa gwanda. Moyoni mwao najua ni Viva Chadema.
Njema Skype......,yan hao watu wa mtaa wa pili ni kuwafungia vioo tu.
dk slaa na ben saa nane aka mzee wa sumu
dk slaa na ben saa nane aka mzee wa sumu
Amepelekwa na kampuni yake ili nao waonekane kidogo wameshiriki.
Walioliwa na Ngwear......bila viainishi na wana beef balaaa!!
Akina Mawingu mkuu. Si misiba mingi huwa wanaiendea na ndizi na pilipili mkuu!
Jamaa dizain wamewapiga chini
teh..teh normer kwl mshkaj wng umeua!.hwa jamaa nuks wanaweza kuibuka na kamati yao wakiulizwa utaskia fursa fursa
hwa jamaa nuks wanaweza kuibuka na kamati yao wakiulizwa utaskia fursa fursa
hwa jamaa nuks wanaweza kuibuka na kamati yao wakiulizwa utaskia fursa fursa
kwa hyo unakubali kuwa hiyo ndo kampuni pekee inayojali mambo ya msingi kama haya? Au Kuna kituo kingine cha radio unachokijua kimepeleka mtu wa kutoa update? Ajabu ni kwamba unaiponda ilhali ndo hiyo pia unaiskiliza saa hizi kupata update..shame on u
Na huyu njiti sikoseli MwanaFA ameingia vipi kwenye hiyo kamati?