Kamati yaundwa kufuatilia Mwili na mazishi ya Mangwair

Kamati yaundwa kufuatilia Mwili na mazishi ya Mangwair

Nahisi ktk hili kuna uwezekano bifu likawa kubwa sana kati ya hayo makundi mawili, uchadema na usisiemu unanukia ktk muziki hope upande wa kina jide utashinda vita - mwisho wa mawingu umewadia

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mh!
Ulitaka uwekwe wewe ili uje na ndizi na pilipili kwenye msiba?
Badly mimi hiyo Redio ya wafu hata kusikiliza huwa sisikilizi, saa hizi nimetune Wapo Radio fm nasikiliza vitu vya maana huku nabofya keyboard.
 
duh... ebu wasameeni clouds jaman, kumbuken millardayo yupo kwa tough ya clouds!
Ruge jirekebishe jaman
 
Badly mimi hiyo Redio ya wafu hata kusikiliza huwa sisikilizi, saa hizi nimetune Wapo Radio fm nasikiliza vitu vya maana huku nabofya keyboard.

Haya mkubwa Matola,umesomeka.
 
Last edited by a moderator:
Kamati hiyo imeundwa na inajumuisha Prof.J,TID,Lady Jaydee,P Funk,Inspector Haroun,Adam Juma,Mwana FA,J moo na wengineo. Ila sijawasikia wale wa kule upande wa pili wakitajwa kwenye kamati hiyo wakati misiba kadhaa huwa wanashiriki kikamilifu! My take😀o you think what am thinking!?.Source: Taarifa ya habari ya saa moja.Chanel Ten.
vipi wamaeishapata hizo Mil 4 za kuuleta mwili Dar..?
 
Back
Top Bottom