Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
- Thread starter
- #21
te hteh tehMimi kumbe simfahamu Lina.
Nilikuwa najua Lina ni mweusi.
Hakuna mwanamke mweusi Tanzania mkuu.
Ulikua unamjua tu, ulikuwa humfahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
te hteh tehMimi kumbe simfahamu Lina.
Nilikuwa najua Lina ni mweusi.
Lkn kizuriKilina chenyewe kifupiiii
hahahaaaaa jamaa umenichekesha Sana'a!! eti DJ?Anajifanya DJ...
Nielewesheni staa ni nini? Sifa za staa ni zipi?View attachment 354995
Baraka Andrew "Baraka Da Prince" amenaswa akimtomasa staa mwenzake, Estalina Sanga "Linah" kwa kumshika sehemu zake nyeti walipokuwa nyuma ya jukwaa(back stage) walipokuwa wakisubiri muda wao wa kutumbuiza ufike.
Tukio hilo lilijiri wikiendi iliyopita katika Ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na shoo ya kuadhimisha miaka kumi ya staa wa Muziki wa Dansi, Christian Bella.
Baraka alionekana akiwa ameingiza mkono kwenye kifua cha Linah huku mrembo huyo akionekana kumpa ushirikiano.
"Mh! Huu ni udhalilishaji, hata kama wameamua kuwa na uhusiano, kwa nini haya mambo wasifanyie chumbani? Baraka anamdhalilisha tu Linah. Naye sijui kwa nini anakubali kuingizwa mkono vile," alisikika mmoja mwa watu waliokuwa karibu.
Linah alipoulizwa na baadhi ya watu waliotaka kujua kulikoni kutomaswa nyuma ya jukwaa alidai haoni tatizo kwani atakuwa amerejea kwenye himaya yake ya zamani.
"Naona ni bora kumrudia wa zamani ambaye nimemzoea," alijibu Linah na kuomba aachwe.
Kwa upande wake Baraka ambaye inafahamika ni mpenzi halali wa mtoto mzuri Naj, hakutaka kuzungumzia chochote kuhusiana na tukio hilo zaidi ya kuishia kucheka tu.
Linah na Baraka waliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi kabla ya kila mmoja kuchukua hamsini zake hadi waliponaswa wikiendi iliyopita ufukweni hapo.
View attachment 354996
Na wewe unapenda kushikwa chuchu ???Ha ha hiyo picha ya mwisho atakuwa kamfinya chuchu
Hapana napenda pesaNa wewe unapenda kushikwa chuchu ???
Kwahiyo ukipewa pesa ushikwe chuchu poa ????Hapana napenda pesa
Pouwa lakini siyo kwamba napata stimu hapanaKwahiyo ukipewa pesa ushikwe chuchu poa ????
Wewe Acha Ujinga Unatuharibia Funga Yetu.Hiyo picha ya pili ndo utamu umekolea au maana
Nawewe Mbea Ka Nini Sijui, Kwan Hupendi?! Ntakusemea Mi Kwa Naniliu Wako[emoji3]Ha ha hiyo picha ya mwisho atakuwa kamfinya chuchu
Kwahiyo kati ya hao wawili "staa" ni yupi ????
Acha banaNawewe Mbea Ka Nini Sijui, Kwan Hupendi?! Ntakusemea Mi Kwa Naniliu Wako[emoji3]
Naacha Lakn Usirudie Tena, Ngoja Ntafute Pesa Nikufuate[emoji14] [emoji173] [emoji188]Acha bana