Kamera yamnasa Baraka da Prince akimtomasa Linah nyuma ya jukwaa, mwenyewe achekelea

[QUOTEuko arharu, post: 16454251, member: 367567"]Lkn kizuri[/QUOTE]
Uzuri uko wapi hapo?
 
Nielewesheni staa ni nini? Sifa za staa ni zipi?
 
Dogo nae anapenda waliomzidi umri. Nisha > Naj >Linah hapo katisha...
 
Kwahiyo kati ya hao wawili "staa" ni yupi ????
 
Naona apo alikuwa anapima saizi ya nyonyo kama imeongezeka au ipo vile vile
 
eti uzalilishaji jamani ebu acheni uongo hapo mm naona huyu anaweka gia na mwenzake anakanyaga kilaji ili mpangilio wa gia usiwe tofauti! mwendo kasi bana hapa kazi tu badae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…