te hteh tehMtoto wa pastor. Babaake akitoa mapepo kwa waumini yanahamia kwa bintiye.
Baraka anatafuta sukari.
Haya bwana umenijibuStaa ni mtu yeyote anayepostiwa humu jukwaa la celebrities
Hahaha,mambo ya scratching hayo!kaka umeuaa hahahahah
Nashangaaa udhalilishaji wakati mwenyewe kachekelea kama katekenywa!mambo mengine shida!!! sasa hapo kuna udhalilishaji gani???? l
Kanywa maji mengiMimi kumbe simfahamu Lina.
Nilikuwa najua Lina ni mweusi.