Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Kamera za ulinzi kufungwa Kariakoo kwa gharama ya Tsh Milioni 514

Setting up a surveillance system comprising of 4 high definition camers and their supporting components would hardly make one part company with 4000 dollars.
So, if we go by that ratio of 4 camera set up, we will get 10 sets in all 40 cameras about to be installed. ...whiich means the total cost for the entire 40 camera installations would not exceed $40,000.
Now that you have pointed out that we should consider about the cost of monitoring room, I'm eager to learn how much it will actually cost....,but it will be beyond my comprehension if they would say almost ¾ of the funds allocated has been spent for just that purpose.
True also considerations have to made on the backup batteries probably with solar gadgets and water resistant cameras
 
Hapa kuna wizi mkubwa sn, hata milioni 14 ingetosha kufunga carema nyingi sn
ndugu camera za majiji sio kama za kwenye fremu unoziona zanzibar kule zimefungwa 20 nafikili moja ni zaidi mill 12 hapo hapo galama za installation na vingine vingi hizi interlligence camera inakuja na AI inafanya kazi hata giza totoro eti mill 14 ingetosha kufunga camera nying mno
 
ndugu camera za majiji sio kama za kwenye fremu unoziona zanzibar kule zimefungwa 20 nafikili moja ni zaidi mill 12 hapo hapo galama za installation na vingine vingi hizi interlligence camera inakuja na AI inafanya kazi hata giza totoro eti mill 14 ingetosha kufunga camera nying mno
Wewe ni mnufaika wa ufisadi nakujua vizuri sn, nashauri usinichokoze vinginevyo utakutana na matokeo mabaya sn kwa upande wako
 
Hapo unatafutwa upigwaji, nchi ngumu sana hii..!!
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa 24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana


View attachment 3240879
Camera 40 kwa millipn 514
🙄🙄🙄
Inafikirisha hizi hesabu. 40 au 400 walimaanisha? ?
 
Unadhani hatuwajui mnavyocheza na makaratasi?

Nakuuliza swali moja tu!

Nipe tu uthibitisho wa hizo bei ulizoweka hapo!

Nasubiri majibu yako. Usituone tunaosema humu ni mazwazwa!
Labda unaweza kuwa zwazwa kwa hiyo hali yako ya kuweza kusoma maandishi lakini bila kuelewa kile kitu unasoma.

Huo mchanganuo ni wa utafiti wangu binafsi, kwa kutumia aina ya camera ambazo zimefungwa hapo Tanzania katika jengo fulani, Dar.

Na mwisho nimesema, kazi wananchi ni kujua ni aina gani ya kamera ndizo zitafungwa Kariakoo, kwani zipo zenye bei inayolingana au kuzidi hiyo bei.

Pia, zipo za bei ndogo zisizoweza kufika kiasi hicho cha pesa. Sasa kulikuwa na shida gani kuelewa hili hadi unajipa uzwazwa?

Ova
 
ulinzi na usalama wa watu, makazi na biashara zao ni muhimu zaid ya upotoshaji wowote ule unaolinganisha pesa, maisha na uhai wa mwanadamu,

Infact,
camera40 ni chache mno ukilinganisha na baadhi ya makanisa humu nchini yenye yaliyofungwa kamera zaid ya 40 kwa gharama ya zaid ya milioni mia8🐒
Wamesema 40 ni hatua ya kwanza. Hivyo, nadhani kutakuwa na hatua nyingine za ufungaji wa kamera.

Ova
 
pesa haina maana wala thamani yoyote kwenye kulinda uhai na maisha ya watu hususani kwenye maene ya makazi na biashara za wananchi gentleman,

hakuna mbamabamba kwenye hilo.
halafu ni vizuri wananchi kuepuka na undumilakuwile,

mtu akifa mnlalamika,
usalama wa watu na makazi yao ukiimarishwa mnlalamika,

nini sasa mnataka? :NoGodNo:
usalama kwa hawa polisi ambao wakipewa 100k wanakubakimbizia kesi kabisa
 
Yaani camera moja ni sh 12,850,000/=. Ccm wameamua kuiba pesa za umma bila aibu.
Kwanin watanganyika mnaruhusu huu wizi utokee? Halafu eti mwisho wa mwezi kesho kutwa kwenye mshaara wangu mnikate PAYE mkinidanganya eti sijui mnapeleka hicho kiasi kwenye ujezi wa taifa?

Hapana sitokubali kwanzia mwezi huu.
 
Katika kuhakikisha biashara zinafanyika saa 24, Jiji la Dar es Salaam limeingia mkataba na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) unaogharimu jumla ya shilingi milioni 514 wa usimikaji wa mifumo ya kamera za ulinzi katika barabara na maeneo ya Kariakoo ambapo jumla ya kamera 40 zitakazofanya kazi kwa saa 24 zitafungwa katika awamu ya kwanza ya mpango huo kwa ajili ya ufuatiliaji wa hali ya usalama na udhibiti wa matukio ya kihalifu.

Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema lengo la mpango huo ni kuimarisha usalama wa wanachi na wafanyabiashara na kuongeza ufanisi wa shughuli za kibiashara.

Amesema, kamera hizo hizo zitasaidia kurahisisha utambuzi wa matukio, kuimarisha ufuatiliaji wa wahalifu na kutoa ushahidi wa haraka inapohitajika.

My take:

Hawa watu wanaliibia sana hili Taifa na ifike wakati wenye akili kwenye vyombo vya dola waungane na Wananchi Wazalendo wachukuliwe hatua.

Baada ya Wizi mkubwa uliofanywa kwa kuongeza gharama za ujenzi wa viwanja vya michezo, leo umesainiwa mkataba kufunga Kamera 40 tu Kariakoo kwa gharama ya milioni 514.

Acha niendelee kuwaamini CHADEMA kuwa No Reform No Election. Nchi hii inaibiwa sana


View attachment 3240879
Kiherehere chenu ona sasa
 
Back
Top Bottom