Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mkuu asante kwa kutuumiza macho na maandishi makubwa.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Na kwako pia.HOHOHO!, MERRY CHRISTMASS
We mwanamke kwa CHAI hujambo
ndoa yenyewe ya kikristo!, woi πββοΈ πββοΈ πββοΈ πββοΈ πββοΈAmvumilie tu, washafunga na ndoa tayari aende wapi sasa
Na kwako pia.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hapo atulie tu hakuna namnandoa yenyewe ya kikristo!, woi πββοΈ πββοΈ πββοΈ πββοΈ πββοΈ
β’ Ndoa imeingia mchanga, nashauri aachane naye tu....Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πββοΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πββοΈπββοΈπββοΈ
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πββοΈπββοΈπββοΈ
mkewangu money peny mwenye kigugumizi chakeeeeeee haloooo huhuhujamboooπ€£π€£π€£
DU!Hapo atulie tu hakuna namna
Inapwaya kwa mwanamke au mwanaume?!β’ Ndoa imeingia mchanga, nashauri aachane naye tu....
β’ Mpenzi akikusaliti maana yake hapo kuna sehemu inapwaya
Aliye toka nje, ndo anaona ndani pana pwaya.. Nimtazamo wangu.Inapwaya kwa mwanamke au mwanaume?!
okAliye toka nje, ndo anaona ndani pana pwaya.. Nimtazamo wangu.
Pole sana msamehe,nani alikudanganya kwamba mume ni wa mtu mmoja.Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano![emoji2297] Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
aisee!/Pole sana msamehe,nani alikudanganya kwamba mume ni wa mtu mmoja.