Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
kwenye sikukuu pendwa?!Ajali kazini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye sikukuu pendwa?!Ajali kazini.
Watu waache umalaya
Ndio mke ni wa mtu mmoja na akitoka nje ya ndoa ikathibitika anapaswa kupewa talaka aende kwao.aisee!
kwahiyo mke ni wa mmoja?
Mkuu ajali inatokea mda wowote. Imekua bahati mbaya tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwenye sikukuu pendwa?!
hii ni dini gan biossNdio mke ni mtu mmoja na akitoka nje ya ndoa ikathibitika anapaswa kupewa talaka aende kwao.
kiru!Mkuu ajali inatokea mda wowote. Imekua bahati mbaya tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dini zotehii ni dini gan bioss
Mwanaume huwa hafumaniwi,Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hapo wa kulaumiwa ni huyu aliemtonya, huyo sio msamaria mwema ni ibilisi shetwain kabisa! Huyo ndio anataka kuiparanganyisha ndoa ya huyo dada utadhani yeye ana mume wa kumpa akisha achwa 🙄Tena alitonywa na msamaria mwema
SIO KWA YESU LAKINI!Dini zote
DOH!Hapo wa kulaumiwa ni huyu aliemtonya, huyo sio msamaria mwema ni ibilisi shetwain kabisa! Huyo ndio anataka kuiparanganyisha ndoa ya huyo dada utadhani yeye ana mume wa kumpa akisha achwa 🙄
ila?Mwanaume huwa hafumaniwi,
Kumbe je? Yeye kilichomshinda kupita na njia zake na kufunga bakuli lake ni kitu gani? Au atanufaika nini huyo mwenzie akiachwa au hiyo ndoa ikivunjika..? Watu wajifunze ku mind their businessDOH!
shetani tena?
kuna watu walimind their business kwenye miradhi business iliua watu!Kumbe je? Yeye kilichomshinda kupita na njia zake na kufunga bakuli lake ni kitu gani? Au atanufaika nini huyo mwenzie akiachwa au hiyo ndoa ikivunjika..? Watu wajifunze ku mind their business
rafkiake hajaolewa!Na yeye achapuke siku ya mwaka mpya na ahakikishe mumewe anamfumania.
Itapendeza zaidi akichepuka na mume wa huyo rafiki yake kama kaolewa.
Nakuambia mimi hata ukimkuta mke wangu hapo analiwa ukija kuniambia ntakutoa nduki na kipigo juu, unless kama una mke umeniandalia ambae ni malaika. Au unataka nikuoe wewekuna watu walimind their business kwenye miradhi business iliua watu!
Jambo iko? Kwanza merry christmass
Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.
Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?
Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
sio mbaya kama ushakubalia hali zote au inawezekana haujapenda!Nakuambia mimi hata ukimkuta mke wangu hapo analiwa ukija kuniambia ntakutoa nduki na kipigo juu, unless kama una mke umeniandalia ambae ni malaika. Au unataka nikuoe wewe
umesahau sukari anti, nakunywa vijiko 2 sukari gulu!