Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Unajua ngoja nikuambie kitu mdogo wangu Money Penny. Hapa duniani usipokua makini kuna watu wanaweza wakakuvurugia maisha bila sababu yoyote.

Mimi najua kila mtu ana madhambi yake ambayo asingependa jamii iyajue. Mfano kama mke wangu anachepuka, na anafanya kwa siri ili mimi nisijue, kwangu mimi huyo mke ananipenda na kuniheshimu sana ndio maana anafanya kwa kificho!

Sasa wewe unapomuona sehemu kajificha halafu unakuja kuniambia, we unataka nini kama sio kutufarakanisha?

Ujinga ni kujiaminisha kwamba wewe umeoa/lewa na malaika ambae hafanyi hayo mambo.
NANI MDOGOWAKO SASA?
 
Ashukuru mumewe ni dume Haswa,,alitaka amfumanie mume wake anakazwa au??tena ampe pongezi rafiki yake Kwa kumsaidia majukumu mshauri wapige thrii samu itanoga kwa kuwa ni watu wanaofahamiana efectivli na Iwe Usiku wa mwaka mpya asikaze Sana shingo atapasuka bure!!
acha kutetea uzinzi
 
basi hujapenda!

Sema hayajanikumba.. ila rafiki labda niwe na mpango wa kumfanya Baya ndio niendelee aiseee. Hapo labda Siri zote amekuwa anampa anamrekodi.. amsikilizishe na mengine amuonyeshe mumewe..

Mimi ndoa yangu marafiki nawaweka mbali nayo.. kwanini wamzoee mume wangu.. ili iweje kwanza!!! Namba zao awe nazo za nini na kisa eeeeh 🤗
 
Sema hayajanikumba.. ila rafiki labda niwe na mpango wa kumfanya Baya ndio niendelee aiseee. Hapo labda Siri zote amekuwa anampa anamrekodi.. amsikilizishe na mengine amuonyeshe mumewe..

Mimi ndoa yangu marafiki nawaweka mbali nayo.. kwanini wamzoee mume wangu.. ili iweje kwanza!!! Namba zao awe nazo za nini na kisa eeeeh 🤗
SAUWA
 
Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano![emoji2297] Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! [emoji2088][emoji2088][emoji2088]

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Usije kuta huyo shoga ake ndio ameandaz fumanizi ili mke aondoke abaki yeye, kwanza ukiona hauwezi kuacha acha kutengeneza fumanizi, utaumia maisha yako yoooye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆‍♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Binafsi, hata nimkute mke wa rafiki au mume wa mtu ninayemjua, na mtu mwingine, SISEMII..!! Kama kimenikaba sana ntamwambia huyo anayechepuka ili ajirekebishe..!! Kumwambia mwenza wake unataka kitokee nini? Wakiuwana, huko kujisikia guilty hakutakutoka maishani mwako...!!

By the way, namshauri afanye haya;

1. Asiruhusu watu kumletea taarifa za kumuumiza. Hata taarifa ya msiba huwa tunasubiri mtu mpaka ale chakula ndo tunamwambia kwa kumuanzia mbali.

2. Aachane na maamuzi ya kuachana kama anayo. Ukiikimbia nchi kisa mvua inanyesha, mvua ipo kila mahali, tofauti ni majira tu ya kunyesha.

3. Asifikirie kulipiza kisasi. Kulipa kisasi huku unayemlipa hajui wala haikusaidii kumkomesha huyo mtu..!! AKidakwa ataonekana malaya tu..!!
 
Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!🙆‍♂️ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
Amsamehe
 
Back
Top Bottom