Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πŸ™†β€β™‚οΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Huyo uliyemuita msamaria mwema ungemuita shetani mwema Kiruu!!
 
Nakuambia mimi hata ukimkuta mke wangu hapo analiwa ukija kuniambia ntakutoa nduki na kipigo juu, unless kama una mke umeniandalia ambae ni malaika. Au unataka nikuoe wewe
Hatuishi na malaika tegemea chochote kufumania,kuletewa mtoto wa nje,kuachwa ukijiandaa huwezi enda jela kisa mapenzi.
Dunia imevaa bukta kichwan
 
Mwili wake utamu wake,we pangusha endelea kula.
Ukiona ngumu tafuta malaika ndo wakamilifu.
 
Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πŸ™†β€β™‚οΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Upanga Kwa upanga,naye mke afunge mwaka na x wake.
 
Jambo iko? Kwanza merry christmass

Kuna mrembo amepigwa huku amapiano!πŸ™†β€β™‚οΈ Amemfumania mpenzi wake Christmas hii akiwa na shogake wa miaka mingi kwa hotel tamu hapo posta, tena usiku.

Tena alitonywa na msamaria mwema tu maskini. Sasa ananiuliza afanyaje?

Haya maisha bwana; mwingine anazaliwa mwingine anafumaniwa, kiru! πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ

Embu msaidieini shogangu amfanyaje bwana wake, ndoa ya miaka 3 tu, bado changa, bado mbichi, woi πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
Alikuwa haelewi kuwa sikukuu ya krismasi ni ya kishetani?
 
Back
Top Bottom