Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayanaga muongozo... Hehehe
KabeeesaHayanaga muongozo...
shauri kwa point sio uhuniMkuu unatunga stori halafu tushauri what's a point?
uweeUsije kuta huyo shoga ake ndio ameandaz fumanizi ili mke aondoke abaki yeye, kwanza ukiona hauwezi kuacha acha kutengeneza fumanizi, utaumia maisha yako yoooye
Sent using Jamii Forums mobile app
ACHA ROHO MBAYABinafsi, hata nimkute mke wa rafiki au mume wa mtu ninayemjua, na mtu mwingine, SISEMII..!! Kama kimenikaba sana ntamwambia huyo anayechepuka ili ajirekebishe..!! Kumwambia mwenza wake unataka kitokee nini? Wakiuwana, huko kujisikia guilty hakutakutoka maishani mwako...!!
By the way, namshauri afanye haya;
1. Asiruhusu watu kumletea taarifa za kumuumiza. Hata taarifa ya msiba huwa tunasubiri mtu mpaka ale chakula ndo tunamwambia kwa kumuanzia mbali.
2. Aachane na maamuzi ya kuachana kama anayo. Ukiikimbia nchi kisa mvua inanyesha, mvua ipo kila mahali, tofauti ni majira tu ya kunyesha.
3. Asifikirie kulipiza kisasi. Kulipa kisasi huku unayemlipa hajui wala haikusaidii kumkomesha huyo mtu..!! AKidakwa ataonekana malaya tu..!!
aiseeAmsamehe
aiseeHayanaga muongozo... Hehehe
ivi kwanini ukimfumania mwanaume unaambiwa ukubwa
wakifa na magonjwaEti masamaria mwema!
Msamaria wa kuvunja ndoa za watu. Kwani angenyamaza angepata shida gani.
ili umwambie asiende!Angeuliza kabla ya kwenda kufumania ingekuwa na maana zaidi kuliko Sasa ikiwa ni baada ya
Ningemwambia asithubutu kwenda kufumania.
uuuwiPiga chini
Ukimsamehe utakuwa umefanya kosa kubwa sana. maana utakuwa umempa go ahead kwa next time.
Manake ni kwamba atakutenda vibaya zaidi ya hiyo awamu ya kwanza
Jiandae Kwa maumivu zaidi
Kutoka nje ni tabiaAliye toka nje, ndo anaona ndani pana pwaya.. Nimtazamo wangu.
Zamani sio mjini siku hiziaisee!
kwahiyo mke ni wa mmoja?