Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Kamfumania mume wake siku ya Christmas, afanyeje?

Angeuliza kabla ya kwenda kufumania ingekuwa na maana zaidi kuliko Sasa ikiwa ni baada ya

Ningemwambia asithubutu kwenda kufumania.
 
Fumania ukiwa na utayani wa kuachana u-sepe żako na kwenda kujitegemea,

Kama sivyo usitake kujua alacho bata, usifukunyue mambo .

Kama kaenda kufanya mbali amekuheshimu.
 
Piga chini

Ukimsamehe utakuwa umefanya kosa kubwa sana. maana utakuwa umempa go ahead kwa next time.

Manake ni kwamba atakutenda vibaya zaidi ya hiyo awamu ya kwanza

Jiandae Kwa maumivu zaidi
 
Binafsi, hata nimkute mke wa rafiki au mume wa mtu ninayemjua, na mtu mwingine, SISEMII..!! Kama kimenikaba sana ntamwambia huyo anayechepuka ili ajirekebishe..!! Kumwambia mwenza wake unataka kitokee nini? Wakiuwana, huko kujisikia guilty hakutakutoka maishani mwako...!!

By the way, namshauri afanye haya;

1. Asiruhusu watu kumletea taarifa za kumuumiza. Hata taarifa ya msiba huwa tunasubiri mtu mpaka ale chakula ndo tunamwambia kwa kumuanzia mbali.

2. Aachane na maamuzi ya kuachana kama anayo. Ukiikimbia nchi kisa mvua inanyesha, mvua ipo kila mahali, tofauti ni majira tu ya kunyesha.

3. Asifikirie kulipiza kisasi. Kulipa kisasi huku unayemlipa hajui wala haikusaidii kumkomesha huyo mtu..!! AKidakwa ataonekana malaya tu..!!
ACHA ROHO MBAYA
 
Piga chini

Ukimsamehe utakuwa umefanya kosa kubwa sana. maana utakuwa umempa go ahead kwa next time.

Manake ni kwamba atakutenda vibaya zaidi ya hiyo awamu ya kwanza

Jiandae Kwa maumivu zaidi
uuuwi
 
Back
Top Bottom