Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Taratibu tutafika mchana baada ya kukucha hukukumekucha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu tutafika mchana baada ya kukucha hukukumekucha
Unajua kuna kitu kimoja watu sijui kwanini hua hawakielewi.Hatuishi na malaika tegemea chochote kufumania,kuletewa mtoto wa nje,kuachwa ukijiandaa huwezi enda jela kisa mapenzi.
Dunia imevaa bukta kichwan
Hayanaga muongozo...Ni nature yao hakuna namna 😁
ExactlyHayanaga muongozo...
sauwaTaratibu tutafika mchana baada ya kukucha huku
angefanyaje saImekauaje ameenda kufumania akiwa hana plan?
aiseeHapo shida ni Christmas, Mwambie atoe hiyo aweke Jumatatu itamsaidia
duNadhani hapo tatizo lipo kwa mke.
Hakupaswa asikilize maneno ya hao wanaojiita wasamalia, siku nyingine asisikilize maneno ya watu. Hilo swala achukulie tu ni kama alitengenezewa mazingaombwe ili mumewe aonekane amechepuka na rafiki yake, kiukweli kabisa mume wake alikuwa na marafiki zake sehemu ya wazi kabisa wanapiga story, sio yeye, ametengenezewa tu zengwe la kimazingara.
Watu wanaloga nyie acheni tu. Madam huwezi kuamini hizi mambo.
SAWAHuyo mume sasa nae akaze, akatae kabisa sio yeye